MSAADA: Hilda Phoya wa Azam TV ameolewa?

Scolari

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2017
Posts
1,721
Reaction score
2,383
Wasalaam wakuu,

Niko katika harakati za kutafuta mtu wa kuishi naye maisha yote nitakayoishi kwenye hii sayari. Kuna huyu dada anatanganza Morning Trumpet wa Azam TV, ana sura nzuri, rangi safi na zaidi umbo lake linanimaliza. Naulizia kaolewa, na kama bado nampataje?

Popote ulipo Hilda Phoya nakupenda na lazima nikutane na wewe, haijalishi umeolewa au haujaolewa!

Haki ya nani huyu binti ananifanya niwaze kuota na kufikiria ni wapi nampata!




Hilda Phoya [emoji3590][emoji3590], kama umo humu tambua nitakutafuta.
 



Hatuwezi kukupa dada yetu Una tabia za kununua Malaya

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 

Niliwahi kuwanunua sana tu dada zako hata mama yako pia mkuu
 
Mtoto mzuri sana
 
Mbona kama macho ya mleta mada hayaoni vizuri ?!.
Mbona siyo wa kivile !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…