ngungwangungwa
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 644
- 569
Madaktari hebu nisaidieni juu ya hili,nimeshuhudia watu wengi wa karibu yangu wakifariki vifo vya ghafla baada ya kutumia dawa za kurefusha maisha(Arvs).
Naomba kujua kwa nn hali hiyo inatokea kwa hawa watu. Kuna watu 4 nimeshuhudia. Wa kwanza shemeji yangu alianguka akiwa anaendesha baiskeli akafa palepale,akafuata binamu yangu alianguka akiwa anakamua ng'ombe maziwa nae alifikishwa hospital akafa muda mfupi baadae,rafiki yangu alikutwa amekufa chumbani kwake na kuna jamaa yangu amekufa siku chache zilizopita akiwa kwenye daladala anaenda kazini.
Wote hawa walikuwa wanaishi kwa matumaini na afya zao zilikuwa imara sana ki-muonekano kutokana na matumizi ya dawa hizo.
Nawasilisha!
Naomba kujua kwa nn hali hiyo inatokea kwa hawa watu. Kuna watu 4 nimeshuhudia. Wa kwanza shemeji yangu alianguka akiwa anaendesha baiskeli akafa palepale,akafuata binamu yangu alianguka akiwa anakamua ng'ombe maziwa nae alifikishwa hospital akafa muda mfupi baadae,rafiki yangu alikutwa amekufa chumbani kwake na kuna jamaa yangu amekufa siku chache zilizopita akiwa kwenye daladala anaenda kazini.
Wote hawa walikuwa wanaishi kwa matumaini na afya zao zilikuwa imara sana ki-muonekano kutokana na matumizi ya dawa hizo.
Nawasilisha!