Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Ina maana hapo umefanya vice versa ni setting tu hapo.Mkuu, nimejaribu kuitumia TeamViewer naona siwezi ku-access laptop kupitia simu, ninachokiona ni screen ya simu inaonekana kwenye screen ya laptop.
Tofauti na vile nilivyotaka ni kuwa, nilitaka ku-access laptop lakini kwa kutumia simu kiongozi.
Hakikisha laptop ndio ina generate code na simu ndio inaingiza hio code ya laptop.