Hahahahah.Sawa Mkuu Pweza.Kwani nani kakuuliza unafanya Kazi wapi? C tunataka kujua zenyewe au la! Mbona utetezi mwingi!
Umevikuta mpenzi...kavifichaaaa?Daaah ni stori ndefu nipeni jibu kwanza la uhakika vyenyewe
Huyo shujaa kweli! Sumu haijaribiwi kwa ulimiKuna dada alikuwa HIV+, alikutana na boyfriend walidate kwa mwaka mzima tena walikuwa wanakwenda kavu, yule dada alikuwa na undetectable status. Sasa jamaa amefika bei siku moja amerudi kazini na engagement ring, dada kabla hajakubali ilibidi awe mkweli kuhusu hali yake. Kama kawaida jamaa alichanganyikiwa, siku ile alikwenda baa alikunywa mpaka baa inafungwa, akatafuta guest akaenda kulala, kesho yake akajiwahi kwenye kitengo huku amefunga kabisa vioo kwa mdada.
Alipata majibu kuwa hajaathirika, baada ya kupata ushauri nasaha alimwendea dada na kumwambia bado anampenda. Walifunga ndoa na kupata watoto, tena alikuwa anambusha kabisa kunywa dawa.
Dahhh pagumu ila huu ndio uanaume wa kweli....Kuna dada alikuwa HIV+, alikutana na boyfriend walidate kwa mwaka mzima tena walikuwa wanakwenda kavu, yule dada alikuwa na undetectable status. Sasa jamaa amefika bei siku moja amerudi kazini na engagement ring, dada kabla hajakubali ilibidi awe mkweli kuhusu hali yake. Kama kawaida jamaa alichanganyikiwa, siku ile alikwenda baa alikunywa mpaka baa inafungwa, akatafuta guest akaenda kulala, kesho yake akajiwahi kwenye kitengo huku amefunga kabisa vioo kwa mdada.
Alipata majibu kuwa hajaathirika, baada ya kupata ushauri nasaha alimwendea dada na kumwambia bado anampenda. Walifunga ndoa na kupata watoto, tena alikuwa anambusha kabisa kunywa dawa.
Very true. Kuna binti niliwahi mchombeza kitambo, akawa ananizungusha tu. Ila kila nikiamua kumpotezea anarudi na kunitafuta kwa fujo. Tulishapanga mitoko kama mitatu, na yote mwishoni tuliishia lodge kulala. Tatizo sasa, alikuwa hataki kabisa kutoa gem, na hata kuvua kufuli kwenye mwanga alikuwa hataki. Yaani hata kupeleka mkono kwenye ikulu alikuwa haruhusu kabisa. Kuna siku kilevi kilimzidia, akajisahau akaniachia. Nilichokikuta nilistaajabu kwakweli. Alikuwa na warts kibao huku chini, yaani mpaka sura na umbo la papuchi halifahamiki. Nilishukuru kwakweli, maana kama ningemfosi kipindi cha nyuma ingekuwa balaa kwangu. Baadae nilimtafuta na kumshauri matibabu, na pia alipima HIV ila akawa salama. Kabaki rafiki yangu tu, siri yake iko salama na mimiUkiona mtu anakukatalia game sanaaa wakati unadeserve jiulize mara2
[emoji124]
Wamarekani huwachoma sindano fulani ya kinga wanajeshi na peace corps wanaoenda maeneo ambayo AIDS ni pandemic na huwakinga pia na magonjwa mbali mbali ikiwamo malariawanadanganya tuuu dawa ipo poa
Akisoma hapa atajijuaaVery true. Kuna binti niliwahi mchombeza kitambo, akawa ananizungusha tu. Ila kila nikiamua kumpotezea anarudi na kunitafuta kwa fujo. Tulishapanga mitoko kama mitatu, na yote mwishoni tuliishia lodge kulala. Tatizo sasa, alikuwa hataki kabisa kutoa gem, na hata kuvua kufuli kwenye mwanga alikuwa hataki. Yaani hata kupeleka mkono kwenye ikulu alikuwa haruhusu kabisa. Kuna siku kilevi kilimzidia, akajisahau akaniachia. Nilichokikuta nilistaajabu kwakweli. Alikuwa na warts kibao huku chini, yaani mpaka sura na umbo la papuchi halifahamiki. Nilishukuru kwakweli, maana kama ningemfosi kipindi cha nyuma ingekuwa balaa kwangu. Baadae nilimtafuta na kumshauri matibabu, na pia alipima HIV ila akawa salama. Kabaki rafiki yangu tu, siri yake iko salama na mimi
HIV doesnt exist in reality and AIDS is a condition which can appear in any human body but also it can be removed very easily in any human body.What do you mean boss? A myth?
Halaf siku hizi tunatumia SD Bioline sio hizo determine......Nime lazimisha kupima kaniambia aina ila kunitoa wasi wasi kanipima na hii kitu na nyingine kanipa yani majibu hapo hapoView attachment 489902
Kwa hiyo ukifanya ngono nzembe yaani bila kinga say na mwanaume mwenye HIV hata ukipata michubuko manii haina virusi? Elimu Dr hapa.Unapokunywa dawa na wadudu wanaisha kwenye mzunguko wa damu ila wanabaki wamejificha kwenye chembe (cells) zenye kinga ya mwili ambako ARV haiwezi kufika. Ukiacha kutumia dawa wanarudi tena kwenye mzunguko wa damu na kuanza mashambulizi upya.
Nimekutana na mtu kama huyo kanipa ushahidi wa story kama hiyo...anaishi na mkewe kaathirika ila yy yupo poa na wanawatotoKuna dada alikuwa HIV+, alikutana na boyfriend walidate kwa mwaka mzima tena walikuwa wanakwenda kavu, yule dada alikuwa na undetectable status. Sasa jamaa amefika bei siku moja amerudi kazini na engagement ring, dada kabla hajakubali ilibidi awe mkweli kuhusu hali yake. Kama kawaida jamaa alichanganyikiwa, siku ile alikwenda baa alikunywa mpaka baa inafungwa, akatafuta guest akaenda kulala, kesho yake akajiwahi kwenye kitengo huku amefunga kabisa vioo kwa mdada.
Alipata majibu kuwa hajaathirika, baada ya kupata ushauri nasaha alimwendea dada na kumwambia bado anampenda. Walifunga ndoa na kupata watoto, tena alikuwa anambusha kabisa kunywa dawa.
It seems una experience na hii kitu yn unajibu kwa kujiamn...[emoji15]Kuna kila rangi mkuu. Hata za blue zipo,za njano pia zipo.
It's my area of practice mkuu.It seems una experience na hii kitu yn unajibu kwa kujiamn...[emoji15]