Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

... Nilianza sala tano mkuu, kwa kweli siwezi sahau hili tukio. Kama siyo yule dada wa mwanzo sijui ingekuwaje.
Huyo mdada aliekuokoa na janga alitakiwa awe mkeo.
 
Naomba jibu kama ndio hiv au ni vya nin View attachment 489846View attachment 489847
Mkuu kwanza pole sana. Hongera sana pia kwa kumtafutia bi dada kazi. Pia nimpongrze huyo bi dada sana kwa kukulinda wewe kwa hali mali kwa muda wote toka mmefahamiana. Hakina anavroho ya kipekee na ya binadamu. Japo hakutaka kukuambia wazi lakini alihakikisha anakulinda. Alijua akikuambia kwanza unaweza usiamini pili unaweza mkimbia kabisa.
Nakuomba uendelee kumpenda. Usimtenge kwa hali yake hiyo. Huwezi kumua mazingira aliyopatia. Msisitize tu awalinde na wengine maana umesema ni kisu sana wengi watataka kuchomeka chululuu zao.
 
Jamanii, hivi walosema usimchunguze sana bata hutomla mliwaona wapuuzi eeeh!???haya pekenyu pekenyu umekutana navyoo Iooooh mtakutana na mabom cku yake mfe.
Huoni kwamba pekenyua yake inaweza kuwa imemuokoa asipate maambukizi? Hasingejua kuna siku angelazimisha angekula kavu.
 
Kuna kipindi kweny group letu la whatsapp niliwahi waambia jamaa kwamba possibility ya mwanaume kupata HIV kutoka kwa mwanamke ni ndogo ukilinganisha na possibility ya mwanamke kupata HIV kutoka kwa mwanaume. Nilipingwa sana ila kupitia thread hii naona baadhi ya post zinathibitisha madai yangu.
 
Huyo bro wako msela sana. Ana roho ngumu kama mtengeneza bunduki anajua hii inaenda kuuwa mtu.
 
Ni kweli.Sababu za kitaalam ni zipi?
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] we noma sana. Kwaiyo sisi wazee CHAPUTA tuendelee tu nakamchezo ketu?
 
mvuv ulichokuwa unawaambia hao jamaa zako huko kwenye group lako ni ukweli mtupu, na zipo sababu lukuki za kuthibitisha ukweli huo both scientifically an theoreticaly. Walibisha kwa kutokujua au kujifanya wanajua while hawajui kitu.
 
Hii kitu mi nimeanza nayo tangu Jana kiongozi. Yaan tangu nimejiunga jf Jana ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kufuatilia uzi hadi mwisho.
Kumbe tuko wote mkuu me kidogo nikeshe. Ila huu uzi wangepatikana kaveli na deception pangekua patamu sana.
 
Huyo bro wako msela sana. Ana roho ngumu kama mtengeneza bunduki anajua hii inaenda kuuwa mtu.
Alifanya jambo la msingi sana.
Alinifundsha kujilinda na kujielewa. Niwe aware, unadhani kila sehem ntakuwa naye anilinde na kunipa guidance , lile lilikuwa somo kwangu.
 
Utakuja kutibika tu, mbona malaria takes ovee 40 years kupata dawa?
 
Kwa kweli leo nimejifunza mengi sana ambayo nilikuwa siyafahamu na mengine nilikuwa sijawahi hata kusikia, hiyo P.E.P kwa kweli msamiati mpya ila nimeelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…