Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

Alete full story apewe msaada naona wajuzi wametia timu
 
Ni hiv huyu dada anakaa arusha nilikutanaga naye kwenye semina moja hiv tuka badilishana contact ki ukweli nilitokea kumpenda sana huyu cos ni mzuri sana yani mzurii natamani ata niweke picha zake but nimeona sio poa kisuuu yani white ana kashepu flan hv hatari huo mdomo sasa yani ni mzuri kiukweli sasa baada ya mimi kumtongoza ilimchukua mda sana kunielewa kidogo nikate tamaa but mwisho wasiku alinikubalia mapenzi ya kaanza kwa phone yupo Arusha nipo Dsm yeye alisomea marketing na alikua anatafuta kazi nikajitoa muhanga mzee kusaka ajira kwa ajiri ya mrembo ....
 
He has nothing to worry. Kama 72hrs hayajaisha toka amegegeda anatakiwa tu kupewa Post exposure prophylaxis (PEP) na atakuwa salama kabisa.
Mkuu hii kitu nimeisikia sana naomba shule kidogo.je inapatika hospitali pekee au na kwenye maduka ya madawa
 
Ndiyo. Endelea mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…