Bro/Sister...kama hutojali ungebadilisha username yako,kama nimeelewa ulichokipost hapa na kweli umemaanisha usijiite Mtengwa jiite angalao Mpendwa Id unayotumia inaakisi ni kama kuna watu wanakutenga na ukijiita hivi kweli utatengwa.pole sana.Ndo vyenyewe ila mimi nimezoea vya kahawia au wakati mwingine napewa vyeupeView attachment 489859
Mkuu umelala naye lini?Nilifanikiwa kula mzigo without those hot kiss cos alikua anakwepa nikala mzigo kibishi tuuuh mzeee mpaka mornie mwenzangu akuwa anaonyeshe kuridhika sijui sababu nilimforce sawa nikachukulia kawaida sasa zile kurupushani za usiku zile mpaka vitu vingi kuanguka chin yani vilikua shangala bagala akaenda kuoga na mim nianze kutafuta boxer yangu sijui imeanguka upande gani ndio kukutana na hizo kama nane hv zipo chin mhhh kwa sikushtuka ila nikahis kitu nikasema ngoja nichukue kimoja nikaweka kwenye mfuko leo hiyoo nikaenda muuliza mwanangu yeye kashaumwaga krb magonjwa mengi sana nikamuulize ebwana unavijua hiv babu akaniambie eti vitakua vyo kuongeza damu hiv nishatumiaga sema vidogo vyake hiv vikubwa sana kuna mwana mwingine akandandia arv hivyooo wewe nishaviona sehemu Moyo ukafanya paah aisee niliishiwa nguvu bdae akaniambia ila sina uhakika ndio mimi kuna hapa jf ila yule mwanamke ajui chochote
Hatari Sana. Nikifikiria ukimwi upo.natamanigi niokoke milele. Mungu tuepusheYeah,kupima ni salama zaidi.. iLa tatizo huyo ambaye mtapima na kuwa wote,hawezi kwenda kuudokoa huko nje,yani hatar bado ipo tu
Weee hizo stori umezidisha chumvi sasaKuna dada alikuwa HIV+, alikutana na boyfriend walidate kwa mwaka mzima tena walikuwa wanakwenda kavu, yule dada alikuwa na undetectable status. Sasa jamaa amefika bei siku moja amerudi kazini na engagement ring, dada kabla hajakubali ilibidi awe mkweli kuhusu hali yake. Kama kawaida jamaa alichanganyikiwa, siku ile alikwenda baa alikunywa mpaka baa inafungwa, akatafuta guest akaenda kulala, kesho yake akajiwahi kwenye kitengo huku amefunga kabisa vioo kwa mdada.
Alipata majibu kuwa hajaathirika, baada ya kupata ushauri nasaha alimwendea dada na kumwambia bado anampenda. Walifunga ndoa na kupata watoto, tena alikuwa anambusha kabisa kunywa dawa.
Kuna watu wanachekesha humu. Mtoa mada nisamee Sana.Unacheka mwenzako now analia[emoji20]
Hatari Sana. Nikifikiria ukimwi upo.natamanigi niokoke milele. Mungu tuepushe
hii ni kama mateso ya Yesu, aliomba kikombe cha mateso na shuluba kimuepuke lakini ikabidi asulibishwe kutimiza unabii, na huyu jamaa kauliza kwa jazba huku akiomba visiwe vya ngoma,[emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] bahati mbaya ni vyenyewe.Ila ndo hivyo,watu wametoa ukweli unaouma
Loh....mdau anazimia kidogo anazinduka anapost anachoweza akikiangalia kijidonge fahamu zinampotea tena.amaa kweli ngono zembe ni hatari.Ndiyo. Endelea mkuu
... Nilianza sala tano mkuu, kwa kweli siwezi sahau hili tukio. Kama siyo yule dada wa mwanzo sijui ingekuwaje.una Bahati sana. Umeokoka?
Tungekuwa tunafanya kazi kama hivi....viwanda vingekuwa vy kumwagililuKwa mara ya kwanza uzi wa kwenye jukwaa la jf doctor naufuatilia komenti kwa komenti.
Umbea hauna posho.
Huyo jamaa atakuwa ni msukuma.Kuna dada alikuwa HIV+, alikutana na boyfriend walidate kwa mwaka mzima tena walikuwa wanakwenda kavu, yule dada alikuwa na undetectable status. Sasa jamaa amefika bei siku moja amerudi kazini na engagement ring, dada kabla hajakubali ilibidi awe mkweli kuhusu hali yake. Kama kawaida jamaa alichanganyikiwa, siku ile alikwenda baa alikunywa mpaka baa inafungwa, akatafuta guest akaenda kulala, kesho yake akajiwahi kwenye kitengo huku amefunga kabisa vioo kwa mdada.
Alipata majibu kuwa hajaathirika, baada ya kupata ushauri nasaha alimwendea dada na kumwambia bado anampenda. Walifunga ndoa na kupata watoto, tena alikuwa anambusha kabisa kunywa dawa.
Hapangiwi.Huyo jamaa atakuwa ni msukuma.
Mke wangu kuna mtu anauliza hukuSky Eclat hivi vidonge ndo unamezaga?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] atamuua mleta uziYaan wewe hiyo picha yako ndio imeharibu kabisa..
Umeona eheeeNimegundua mlets mada ni mfanyakazi wa Shigongo.
Kuokoka is the best way,na mtu utakaye kuwa nae aokoke mungu atuepushie,but mahusiano...Ni kumuomba mungu sanaHatari Sana. Nikifikiria ukimwi upo.natamanigi niokoke milele. Mungu tuepushe
Tupo wengiKwa mara ya kwanza uzi wa kwenye jukwaa la jf doctor naufuatilia komenti kwa komenti.
Umbea hauna posho.