Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

Ni bora ulete picha ya box lake tukuambie kuliko kutumia kidonge ......

Hii ni kwasababu viwanda siku hizi vinatabia ya kutoa dawa zakufanana umbo. ..
...mfano kiwanda cha Pom au Mylan
Mkuu hiyo dawa ni ARV kama sikosei imetengenezwa na mylan. Ilikuwepo kwenye mzunguko toka mwaka juzi na mpaka sasa ipo
 
Kuna dada alikuwa HIV+, alikutana na boyfriend walidate kwa mwaka mzima tena walikuwa wanakwenda kavu, yule dada alikuwa na undetectable status. Sasa jamaa amefika bei siku moja amerudi kazini na engagement ring, dada kabla hajakubali ilibidi awe mkweli kuhusu hali yake. Kama kawaida jamaa alichanganyikiwa, siku ile alikwenda baa alikunywa mpaka baa inafungwa, akatafuta guest akaenda kulala, kesho yake akajiwahi kwenye kitengo huku amefunga kabisa vioo kwa mdada.

Alipata majibu kuwa hajaathirika, baada ya kupata ushauri nasaha alimwendea dada na kumwambia bado anampenda. Walifunga ndoa na kupata watoto, tena alikuwa anambusha kabisa kunywa dawa.
Mmmh ni mimi sijaelewa au. Yaani huyo dada ni muathirika ila jamaa vidudu havikumshika hata walipooana bado hakuambukizwa.
 
Nipo na doctor light now kaniambia no need of (PEP) Baada ya maongezi ya muda mrefu hapa kwa kakope hosptal ya masister daaah kanitoa wasi wasi woote yani huyo doctor ni fundii
Ila Demu anajielewa sana kaniambia kama wanawake wote wangekua hiv pasingekua na mahambukizi mapya ya ukimwi santeni kwa ushauri wenu
Usikate mawasiliano na huyo dada tafuta njia nzuri ya kumuuliza myaongee then muendelee hata na urafiki wa kawaida. Huyo ni shujaa wako nawe wapaswa kuwa mtu wa karibu sana kwake
 
Kuna dada alikuwa HIV+, alikutana na boyfriend walidate kwa mwaka mzima tena walikuwa wanakwenda kavu, yule dada alikuwa na undetectable status. Sasa jamaa amefika bei siku moja amerudi kazini na engagement ring, dada kabla hajakubali ilibidi awe mkweli kuhusu hali yake. Kama kawaida jamaa alichanganyikiwa, siku ile alikwenda baa alikunywa mpaka baa inafungwa, akatafuta guest akaenda kulala, kesho yake akajiwahi kwenye kitengo huku amefunga kabisa vioo kwa mdada.

Alipata majibu kuwa hajaathirika, baada ya kupata ushauri nasaha alimwendea dada na kumwambia bado anampenda. Walifunga ndoa na kupata watoto, tena alikuwa anambusha kabisa kunywa dawa.
HIV AIDS is a myth, if u ar doc i knw u knw this.
 
Option-B+-629x419.jpg

With a new generation of HIV treatments available, mothers on Option B+ need only take one pill per day. Credit: Jennifer McKellar/IPS

KAMPALA, Nov 27 2013 (IPS) - Uganda has gotten plenty of kudos and some criticism over its roll out of the new antiretroviral therapy for pregnant women and their babies, known as Option B +.

Recommended by the World Health Organisation in June 2012, Option B+ consists in life-long provision of ARV therapy to pregnant women regardless of their CD4 count. CD4s, or helper cells, fight infections in the body.

Before, under Options A and B, mother and baby were given ARVs during pregnancy and breastfeeding. Only women with CD4 counts under 350 were prescribed ARVs for life – but CD4-counting machines are expensive and scarce in Africa.

Uganda has done remarkably well. Over 70 percent of all health facilities offer Option B+ and it overshot its target of 35,000 women on treatment in the first year, reaching 50,000 by October 2013.

Related IPS Articles


“We are overwhelmed by the roll out so far,” said Godfrey Esiru,national coordinator of prevention of mother-to-child transmission (PMTCT) at the Ministry of Health. “It is the cheapest option for a country with limited resources for the health sector.”

Uganda’s seroprevalence is seven percent, or some 1.5 million people, according to the Joint United Nations Programme on HIV/AIDS (UNAIDS).

AIDS activists welcomed the roll out but voiced some concerns.

“Option B+ denies a pregnant woman the right to decide whether to join the service or not,” said Dorothy Namutamba of the International Community of Women Living with HIV/AIDs in Eastern Africa (ICWEA).

This criticism featured prominently in the focus groups organised by ICWEA in 2012 to discuss the experiences of women with Option B+ in Uganda and Malawi.

“The names Option A, B and B+ imply that pregnant women who test positive for HIV are being given a range of options to choose from, whereas in reality it is the government that chooses which option to implement,” reads the ICWEA report on the focus groups.

Young HIV positive women may not want to start lifelong ARV treatment when they still feel healthy, although the regime is simplified to one pill a day. Over time, about two out of 10 people on treatment develop resistance to ARVs and must switch to more expensive second or third-line drugs.

Activist Mulani Birimumaso and his wife have lived with HIV for 15 years. Their two daughters are HIV negative thanks to PMTCT services available in Uganda since 2001.

He worries about couples sharing the pills at home. “They have initiated Option B+ without considering that there are other HIV positive people in homes other than mothers,” he told IPS. “The husbands also need those drugs.”

The focus groups noted the risk of domestic violence arising from the inequity in treatment access for husbands.

Another concern is ARV stock outs and dependence on donor funding. Uganda plans to put 240,000 people on treatment in 2014, Musa Bugundu, UNAIDS country coordinator, told IPS.

“Of these, 190,000 will be funded by the Americans and the remaining 50,000 by the Global Fund,” he said. “Is that the way to go? We have a serious problem.”

Proscovia Ayo, of the Tororo Forum of People Living with HIV Networks in eastern Uganda, points out that the roll out has ignored the need for family planning as part of PMTCT.

“You find a mother delivering every two years, yet she is on ARV treatment. We thought Option B+ would resolve that, but it has not,” she said.

Some critics say that Option B+ could be a potential incentive to get pregnant and gain access to the three-drugs-in-one-pill daily treatment.

Cellphones and men

Shafik Malende, a researcher in a study on implementation of Option B+ in northern Gulu district, found it requires strong family cooperation.

“Engagement of communities would greatly enhance Option B+ because they would ensure adherence and follow up,” said Malende.

A study at Mulago National Referrral Hospital in Kampala in late 2012 found that out of 190 women on Option B+, only 20 percent picked up their CD4 count results.

“High rates of loss to follow-up mean increased risk of treatment failure, drug resistance and disease progression for the woman,” Namutamba explained.

These concerns are being addressed as the program is implemented across the country, Godfrey Esiru told IPS. Now, each clinic is getting a cellphone to track mothers on treatment.

He admitted some weaknesses in male involvement, but added that increased use of village health teams and peer mothers groups will encourage men to support their wives.

One advantage of Option B+ is that HIV positive pregnant women are put on treatment without a CD4 count. “We could not move this fast with the other options because we don’t have enough CD4 machines,” Esiru explained.

Yet, looking beyond birth, women on treatment will need regular CD4 counts and viral load tests to monitor their health. Activist Augustine Sebuma, who has lived with HIV for 20 years, wondered how health workers will monitor mothers on Option B+ when their clinics lack CD4 counting machines.

“We strongly support Option B+,” reads a statement by ICWEA. “But we are gravely concerned … about two major early challenges, loss to follow-up and weak engagement of communities, which will lead to weak demand for this service.”


Ni ARV kwaajili ya wanawake wajawazito.
Ushammaliza mwenzio jamanii. ..[emoji23] [emoji23] na cheka lakini havichekeshii
 
Ndungu yangu mmoja upande wa mama angu yupo pale voda Mama angu ndio aliniambia nikamuone kwa kisingizia me ndio nataka kaz bwana nikaenda nikachonga nae nika mueleza ukweli kwamba sio mim ni mke wangu mtarajiwa ndio anataka kazi akaniambia nitege siku flani atume cv kweli bwana mwisho wa siku akatuma cv Mungu Mkubwa aisee pamoja na juhudi za yule mother angu akapangiwa interview atabid sasa aje town kweli kafika Dar aka akafikia kwa shangazi ake kino siku ya interview akaenda pale akapass safii tuuuh yani daaah nirifurahi kupita maelezo na yeye pia baada ya miez mitatu akapanga sinza apo kilanikikutana naye kwenye maswala ya mapenzi ni ugomvi mkubwa sana uwezi amin miez 5 yote kidume nakula calendar tuuh tuuh iyo siku nilienda kwake nusu tupigana eti yupo kwenye siku zake za hatari na nilimwambia kua nitakuja kulala uko leo vurugana sana yani nilikula mateke ayoo akaniambia eti nifuate condom saa 6 usiku daah nitaenda duka gani nikaenda geto kwangu mwenge chukua ndom na kurud usiku ule ule
Aise nyapu ni kitu ingine haswa ukiwa na kupungu cha muda mrefu... Ndom mbali ivo

Sent from my Nexus 5X using JamiiForums mobile app
 
Kwa lecture niliyopewa leo nimepewa tips za kuweza kufanya naye mapenzi kwa kutumia condom au bila condom hila hii ya kavu sito itumia pia jinsi ya kuishi naye adi siku atakayo gundua me najua kuwa yeye nimuathirika nimesisitiziwa sana juu ya mahusiono yetu na nimepewa adi stori ya kupiga naye kabla ya tendo daah Madoctor ni shidaah kesho naenda nae movies au beach
Safi sana . Nakupongeza kwa hilo. Fanya hivyo tena zidisha mahaba kwake. Niliwahi kupendwa na mrembo muathirika mzuri kweli. Sema rafiki yake ambaye ni mpenzi wangu alihisi huyo dada ananipenda . Kuna siku akamwambia kuwa naona unammezea mate shemeji yako.
 
... Miaka kadhaa nyuma nilukutana na changamoto kama hii : Nilikutana na mlimbwende mmoja kwenye harusi ya jamaa yangu na nikamzimikia kweli. Kila nikimsomesha wapiii, na baada ya miezi kadhaa nika give up,maisha yakasonga. Baadae nikapata mdada mwingine tunaendelea naye for some time, maybe a year, tukaachana.One day nikakutana na yule mlimbwende na surprisingly this time kum test kidogo tuu anakubali, na tukapanga kesho tufanye yalee mambo yetu. Kesho yake tukakutana, kikaanza kinywaji then tukaingia room, sasa wakati ndo tunaanza kupasha kabla ya mechi simu ikaanza kuita nikawa nachuna, yule mlimbwende anahisi nipokee kwanza labda ni muhimu, nikapokea, kumbe ni yule demu wangu tuliyeachana naye, nikataka kukata simu but akaniwahi kwamba.. '' wewe huyo uliyenaye hapo ni muathirika, na kama unafikiri ni uongo mpigie rafiki yako fulani muulize '' akakata simu!! Aisee nilipaniki hatari, mlimbwende akaniuliza vipi tena?? Nikamdanfanya kumetokea ajali na mdogo wangu yuko mahututi, mchezo ukaishia pale na akaondoka zake. Nitampigia jamaa yangu kupata uhakika, akasema ni kweli huyo ni muathirika, aisee huo mwezi ulikuwa mchungu sana kwangu... Baada ya hapo nikawa kila miezi sita napima but was found OK. Baadae, after a year or so yule mlimbwende akafariki kwa hilo tatizo.
Malaika walikuwa on ur side, kweli sio kila simu ya kupuuza aseeh, huyo X ukamrudia au ukampa shukrani gani? Maana ka take a bullet for u, na sijui alikua anakufatilia! Kakuonaje upo na goma [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom