Msaada huu ni ugonjwa gani

Daaaaah ndio inakuwa hivo mkuu nimestuka
Ndo maana nkasema natumaini sio huo ugonjwa hapo. Cha msingi apime vipimo vyote, wasiishie tu kupima vile "vya mazoea/kila siku" ili wapate kujua undani wa hilo tatizo. FNB/NFB ni shida ingine ariff.
 
hii inaitwa atopic dermatitis. inatibika
 
Mpeleke Muhimbili watakata kinyama wataotesha then mtapata majibu mujarabu hatuombei mabaya lakini yaweza kuwa kansa ya ngozi usiofope akapimwe hosp kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…