Hiyo picha ulioiweka haioneshi vizuri,Lakini hata hivyo inaonekana ni aina fulani ya vipele.Kama ulienda hospitali akapimwa na ukaambiwa ana minyoo na amiba basi huyu aliekuhudumia sio daktari wa hospitali za kisasa labda ni zile hospitali za akina dr.Mwaka au ulihudumiwa na mganga wa kienyeji.Ndugu hapo hujapewa huduma yeyote bali jamaa amekudhihaki tu, nenda hospitali ya maana ukatibiwe!!!.Habari kuna rafiki yangu anaumwa ugonjwa huu leo imepita mwezi . Tumienda nae hospital wakampima wakasema ana minyoo ya aina mbili :-
[emoji117] MINYOO YA AMIBA
[emoji117] MINYOO YA KICHOCHO
Tume tumia dawa za minyoo hiyo lakini wapi haijasaidia kitu. Tukarudi tena wakampa dawa ya allergy nayo haijasaidia kitu. Kwahiyo kwa yeyote anaeweza jua huu ugonjwa na dawa yake atuambie tafadhali, pengine labda na wewe umewahi kuugua ugonjwa huu tunaomba msaada wako ahsante
![]()