Msaada huu ni ugonjwa gani

Msaada huu ni ugonjwa gani

Mkuu huo ugonjwa Kwenye Wikipedia NI tofauti Na wa warafiki wa mtoa mada.
NI vizuri akapimwe Muhimbili ili ajuwe NI nini
Yupo mchangiaji mmoja aliandika atopic dermatitis nime Google nimeona inaweza kuwa ndio ugonjwa wenyewe Muhimu akapimwe
Ahsante ndugu
 
Dah imenibidi nicheke, yani biashara hivi MTU anaumwa unmshauri apate maudongo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Majasiriamali ni madude fulani mashetani.... limenikera sana na maudongo yake
 
Kichocho/schistosomiasis/snail fever tunapima kwenye mkojo na choo.

Kwenye mkojo ni schistosoma haematobium na choo ni Schistosoma mansoni kwa mpimaji yupo right

Dawa ni praziquantel 40mg/kg in divided doses sijui kama waliwapa iyo dawa ni muhimu sana kwani usipotibiwa mapema utaleta shida kwenye ini na kuishia kupata magonjwa kama portal hypertension/Oesophageal varices na pia kwa Amiba anaeza pata amoebic liver abscess.

Kwa ushauri aende hospital kubwa akafanye vipimo zaidi vp anafanya kazi za majimaji kama vile uvuvi au mashamba ya mpunga/vitunguu?

Izo ziko kama warts au herpes zooster sababu zinatabia ya kufauta dermatone la msingi aende hospitali kubwa tuu
 
Na pia kuna minyoo pia inasababisha magonjwa ya ngozi esp microfilariae wale wanasababisha Matende/elephantiasis kama vile Loa loa,au wuchereria bancroftii so ni vizuri awaone wataalamu kwenye hosp kubwa
 
Kichocho/schistosomiasis/snail fever tunapima kwenye mkojo na choo.

Kwenye mkojo ni schistosoma haematobium na choo ni Schistosoma mansoni kwa mpimaji yupo right

Dawa ni praziquantel 40mg/kg in divided doses sijui kama waliwapa iyo dawa ni muhimu sana kwani usipotibiwa mapema utaleta shida kwenye ini na kuishia kupata magonjwa kama portal hypertension/Oesophageal varices na pia kwa Amiba anaeza pata amoebic liver abscess.

Kwa ushauri aende hospital kubwa akafanye vipimo zaidi vp anafanya kazi za majimaji kama vile uvuvi au mashamba ya mpunga/vitunguu?

Izo ziko kama warts au herpes zooster sababu zinatabia ya kufauta dermatone la msingi aende hospitali kubwa tuu
Ahsante mkuu [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Back
Top Bottom