Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh poleni sana, hebu jaribu pale Regency Hosp inatumia bima pia.Pole sana hata usijal
Wewe ndiye.Si unaona ulivyo mjinga. Wewe unajuwa ataetangulia nani kati yangu na yako?
Vizur ddaBasi jamani tusifike huko tunapotaka kufika yaishe punguzeni ukali wa maneno akuna mkamilifu
Ahsante nduguMkuu huo ugonjwa Kwenye Wikipedia NI tofauti Na wa warafiki wa mtoa mada.
NI vizuri akapimwe Muhimbili ili ajuwe NI nini
Yupo mchangiaji mmoja aliandika atopic dermatitis nime Google nimeona inaweza kuwa ndio ugonjwa wenyewe Muhimu akapimwe
Inaitwaje kiongozi hiyo hosptal?Kuna hospitali moja ya masista tegeta iko vizuri kweli kune hayo magonjwa....naamini atapona....
Ahsante sanaMsaada mzuri afike hospital Kubwa iliyo karibu naye
Ahsante ila tupo mbali tupo mwanza kwa sasa hiviUmewasaidia wengi sana. Nitampatia bure kabisa.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Yaweza kuwa mkanda wa jeshi
Dawa gan hzo mkuu msaada ni muhimu nduguUgonjwa huo unatibika haraka sana kwani jirani yangu kapona ila kwa dawa za kienyeji
Tupo mwanza tanzaniauko wapi ? kama upo maeneo ya nyanda za juuu kusini mpeleke Hospital ya ikonda makete au Peramiho
Ahsante sanaN
Duh poleni sana, hebu jaribu pale Regency Hosp inatumia bima pia.
Jaman bas niliomba nsaada tu si hayo yaliyotokeaWewe ndiye.
Nyie wajasiriamali ni kenge sana mnawaza kupiga hela tu..... sasa udongo wako ulainishe tu sehemu hata kama inaugonjwa? jua kwanza tatizo litibiweNinakushauri tumia hii tiba yetu ya asili mbadala, utatukumbuka:
Kwa wanaume na wanawake: Udongo (natural) Unaolainisha ngozi sasa unapatikana
Majasiriamali ni madude fulani mashetani.... limenikera sana na maudongo yakeDah imenibidi nicheke, yani biashara hivi MTU anaumwa unmshauri apate maudongo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Duuh manyau nyau katika ubora wakoUgonjwa huo unatibika haraka sana kwani jirani yangu kapona ila kwa dawa za kienyeji
Ahsante mkuu [emoji120] [emoji120] [emoji120]Kichocho/schistosomiasis/snail fever tunapima kwenye mkojo na choo.
Kwenye mkojo ni schistosoma haematobium na choo ni Schistosoma mansoni kwa mpimaji yupo right
Dawa ni praziquantel 40mg/kg in divided doses sijui kama waliwapa iyo dawa ni muhimu sana kwani usipotibiwa mapema utaleta shida kwenye ini na kuishia kupata magonjwa kama portal hypertension/Oesophageal varices na pia kwa Amiba anaeza pata amoebic liver abscess.
Kwa ushauri aende hospital kubwa akafanye vipimo zaidi vp anafanya kazi za majimaji kama vile uvuvi au mashamba ya mpunga/vitunguu?
Izo ziko kama warts au herpes zooster sababu zinatabia ya kufauta dermatone la msingi aende hospitali kubwa tuu