Msaada: Huu ni ugonjwa gani?

nasisitiza kwa mgonjwa epuka kutumia antibiotics kuituliza msala wahi kituo jirani cha afya
 
Wanatishia[emoji23][emoji23]
tabia za wanaume ni kupuuza mambo na kuyachukulia kwa udogo, huyu bila bakora hatofika hospitali majuzi nimepokea kijana mmoja kaumwa na buibui alikua kabakisha dk30 habari yake ingekuwa nyingine kilicho msukuma kuja ni bada ya mkono kuwa mzito ghafla la sivyo asingekuja.
 
Aisee πŸ€”πŸ€”
 
Pole sana Mkuu.

Nikiri wazi, mimi si Mtaalamu wa magonjwa ya ngozi. Hivyo utapaswa kufika katika vituo vya kutolea huduma vyenye hadhi ya rufaa na kikanda ili uweze kupata usaidizi kutoka kwa Madaktari Wabobezi wa ngozi.

Unachopitia kitabibu kinaitwa 'Lichen Planus', ya aina gani sijui. Maana zipo za aina tofauti.

Kinachosababisha haswa hali hiyo haijulikani barabara, ila historia yako inaweza kueleza bayana na daktari kupata mwanga wa kilichotokea. Lakini haswa magonjwa ya kuambukiza, matumizi ya vipodozi visivyo sahihi, infections kwenye ngozi, kushuka kwa kinga ya mwili, nk

Pole sana na nakutakia uponyaji. Mungu akusaidie.
 
binafsi nilivyo ona kwenye mkono kama hali ipo hivyo huwenda viganja vimeadhirika zaidi na kama ana vipele vya homa mdomoni kwisha mchezo
Na ugonjwa mpaka ufike stage hio ni uzembe wa hali ya juu dalili za mwanzo zingetosha kuenda hospitali mapema sana
 
Mwenza kama yupo mmoja ila kama alichovya chovya kazi ipo.
Jamani mbavu zangu πŸ˜‚πŸ˜‚,, usikute mgonjwa mwenyewe kashakufa kwa hofu maana sio kwa maneno hayaπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™Œ
 
Ila
Anza vipele akijikuna kama anaviongeza baada ya kutumia dawa ya kupaka na kujuwa Hali ndiyo hiyo
 
binafsi nilivyo ona kwenye mkono kama hali ipo hivyo huwenda viganja vimeadhirika zaidi na kama ana vipele vya homa mdomoni kwisha mchezo
Kama wewe ni daktari kweli, basi wagonjwa tuna wakati mgumu mno.

Kwa kauli kama hizi....ndio maana watu wengi wanaenda hospitali wakiwa wamechelewa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…