Msaada: Huyu dada anataka nini?

Ni vizuri ukawa na standard ukisikia MTU kaolewa au ukisikia MTU ni single mother hizo namba zitakusumbua Sana na Kama sio kukutoa katika reli (ramani) utapata mikosi.

Kuwa na standard don't be cheap ,kuna wanawake wengi wanaingia sokoni everyday wanahitaji watu na wapo under 23. Yrs Ila wewe unabaki kupambania mipira iliyokufa

Be smart.
 
Inawezekana anataka kupanga safu yake mpya ya baraza la wazinzi..
Keep calm unaweza kuwa waziri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…