Mimi NYoka ninayemuogopa kuachana na hao ma sijui mambas ni kifutu(puff adder) kwa sababu zifuatazo
(1) utulivu,ni NYoka mpole hapendi kushambulia watu hivyo akishiba kama reptile wengine hupendelea kuota jua kusaidia mfumo wa chakula,
Sasa hapa anakaa kwenye njia ambayo watu hupita Ili kuchomwa na jua vizuri na anajikunja vizuri na kufanana na mazingira kiasi Cha ndege na nguchiro kumuona na binadamu pia
(2) usipomuona ukamkanyaga vizuri lazima ata panick na kukung'ata na kukuachia cytotoxic venom ambayo usipowahishwa hospital haraka unaweza kukosa mguu
Black mamba na cobras tumewazoea wakituona wanasepa kwa Kasi ya ajabu unless mfungiane mahali