Msaada: Huyu ni nyoka wa aina gani?

Msaada: Huyu ni nyoka wa aina gani?

Mimi NYoka ninayemuogopa kuachana na hao ma sijui mambas ni kifutu(puff adder) kwa sababu zifuatazo
(1) utulivu,ni NYoka mpole hapendi kushambulia watu hivyo akishiba kama reptile wengine hupendelea kuota jua kusaidia mfumo wa chakula,

Sasa hapa anakaa kwenye njia ambayo watu hupita Ili kuchomwa na jua vizuri na anajikunja vizuri na kufanana na mazingira kiasi Cha ndege na nguchiro kumuona na binadamu pia
(2) usipomuona ukamkanyaga vizuri lazima ata panick na kukung'ata na kukuachia cytotoxic venom ambayo usipowahishwa hospital haraka unaweza kukosa mguu

Black mamba na cobras tumewazoea wakituona wanasepa kwa Kasi ya ajabu unless mfungiane mahali
Huyo kifutu huyo.. ni joka fulani ukiliona unaweza kusema jinga, ila likifanya yake ni hatari.
 
Huyo kifutu huyo.. ni joka fulani ukiliona unaweza kusema jinga, ila likifanya yake ni hatari.
Unaweza ukalichapa fimbo likakuonya na Mlio tu ila unatakiwa kukaa mbali kidogo maana unakuta limejikunja kama spring!!
Likijiachia Sasa ni faster lishagonga tumbo!

Uzuri halina uwezo wa kurudia kugonga kama mambas
 
Unaweza ukalichapa fimbo likakuonya na Mlio tu ila unatakiwa kukaa mbali kidogo maana unakuta limejikunja kama spring!!
Likijiachia Sasa ni faster lishagonga tumbo!

Uzuri halina uwezo wa kurudia kugonga kama mambas
Ni moja ya nyoka nawaogopa saana, halafu shambani mwangu wapo kedekede.. pale mtaani tushawauwa kama 5,6 hivi, ndani niliuwa vitoto vyake viwili, kisha nikauwa vitoto vya cobra navyo viwili.
 
Kumtambua ni ngumu bila kichwa

Huenda akawa koboko au swila/Cobra

Muangalie kinywa chake, je! Ni cheusi?
 
Ni moja ya nyoka nawaogopa saana, halafu shambani mwangu wapo kedekede.. pale mtaani tushawauwa kama 5,6 hivi, ndani niliuwa vitoto vyake viwili, kisha nikauwa vitoto vya cobra navyo viwili.
Ukiwa unaenda shambani kuwa makini wakati unatembea kuangalia chini,usiku beba tochi yenye mwanga!!
Hao vifutu na waogopa kwa tabia Yao ya ku freeze ila hao makoboko na swira harua Moja tu washasepa!
Kuhusu cobra(swira) hapo bado watakuwepo manake wanaangua vitoto vingi labda kama Kuna ndege kongoti na tai wanaweza punguza
 
Najaribu kuvuta picha ya mazingira unayoishi mpaka kuwa na nyoka wakubwa namna hiyo kama unavyowaongelea 🤔🤔
 
Hongera kwa kuua mkuu,je kwa mfano huyo NYoka alikua anasubiriwa na mayai yake akayaangue vifaranga!
Hivi kwanini binadamu tunajiona wa maana sana au ni haya mavitabu yanatudanganya🤣
Life cycle lazima ikamilike, kwenye hii dunia ya viumbe hatari ni kuwahiana tu, bora kamuwahi yeye.
 
Never start what u cant finish,

nakufanisha na Hamas wameingia sebuleni kwa Israel wametandika watu wakarudi makwao kujificha kwenye mahandaki kama panya kwa kipigo wanachopokea wanajutia tukio la Oct 7
 
Back
Top Bottom