Msaada: Huyu ni tapeli au sio wakuu?

Msaada: Huyu ni tapeli au sio wakuu?

Kuna mtu nimekutana nae kwenye Linkedin na kujinasibu kuwa yupo Israel. Anafanya kazi kwenye kampuni ambayo huwa inafanya investment na kuprovide fund for investment.

Sasa alikuwa anataka kuja ku invest Tanzania. Akaomba ushauri maeneo amabayo anaweza kuwekeza. Nikampa ushauri na amependa kuwekeza kwenye Tanzanite.

Sasa anataka kutengeneza mkataba wangu na wake ili alirelease fund kwani nilimwambia inabidi kwanza tufungue kampuni na kufungua kampuni kuna gharama kidogo.

Sasa kinachonipa wasiwasi ni kwanini anasema anataka kurelease fund so fast. Hajaniomba account namba yangu wala hela. Info anayohitaji ndio hiyo hapo chini.

Naombeni msaada wakuu kuna info yoyote hapo inaweza msaidia kunipiga hela? Maana naogopa sana technology.

View attachment 1329888

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo informations ukirelease tuu umeumia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mimi nlikuwa na huyo alijifanya mwanajesho ambae yupo afghanistani nikawa namchora tu anavyonirushia vitu with evidence plus picha zake nikampata nilivyokuwa namngangania nimpigie video call kilichofata nilichezea block nkabakia nacheka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilinikuta nikiwa Chuo Mlimani mwaka wa kwanza. Binti mzuri anadai ni mtoto wa marehemu John Garang. Mshua wake kamuachia midolali anatafuta mtu kutoka nchi yenye amani ahamishie hizo pesa. Alikuwa kaahidi parcent kwenye mgao. Nilichanganyikiwa baada ya kupiga hesabu ya mgao. Nikajisemea dili likitiki naacha chuo. [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ipo sana mkuu. Hao wanajulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu ndio maana nimekuja kupata ushauri hapa. Je hizo info hapo anazozitaka zinatosha kumuibia mtu? Je akitaka account alafu nikimwambia nifungue separate account ambayo mimi nikuwa siitumii nitakuwa nimekisea? Hayo tu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu ndio maana nimekuja kupata ushauri hapa. Je hizo info hapo anazozitaka zinatosha kumuibia mtu? Je akitaka account alafu nikimwambia nifungue separate account ambayo mimi nikuwa siitumii nitakuwa nimekisea? Hayo tu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nini ambacho huelewi baada ya kushauriwa na wadau. Huyo jamaa ni tapeli...sasa ya nini kutuma account details hata kama huitumii?

Mpotezee mazima kabisa....ukiendelea kumpa taarifa atakuliza.
 
Ilinikuta nikiwa Chuo Mlimani mwaka wa kwanza. Binti mzuri anadai ni mtoto wa marehemu John Garang. Mshua wake kamuachia midolali anatafuta mtu kutoka nchi yenye amani ahamishie hizo pesa. Alikuwa kaahidi parcent kwenye mgao. Nilichanganyikiwa baada ya kupiga hesabu ya mgao. Nikajisemea dili likitiki naacha chuo. [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nakumbuka hii ilinitokea sijui ni uyu uyu alidai na yeye mzee wake amefariki kamuachia madolari ya kutosha..it was 2013
 
Wakuu ndio maana nimekuja kupata ushauri hapa. Je hizo info hapo anazozitaka zinatosha kumuibia mtu? Je akitaka account alafu nikimwambia nifungue separate account ambayo mimi nikuwa siitumii nitakuwa nimekisea? Hayo tu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
usiwe m'bishi kama mshipa, wadau wamekupa dodoso nzima kama uyo ni scammer, bado umeng'ang'ana tu,

nenda kipigwe sasa
 
Nakumbuka niliwasiliana na mdada akasema ameachiwa mali na mzee wake
So anataka anitumie mahela kisha aje tuishi pamoja...!!

Akataka details nkamtumia...nakumbuka nilikuwa na miaka 20...nliona n bahati

Kimbembe kikaja akataka nimtumie hela ili hela zije kwangu....!!yan nilipie kama ushuru ili transfer ifanyike

Hapo ndo nkaona manyanga...nkamlia bati...

Hao hua n matapeli....atatumia hzo informations zako kuingia kweny akaunt na kuwithdraw pesa kama unazo lkn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom