msaada IFM first year registration tafadhali

donMramba

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
250
Reaction score
42
jama nashindwa nifanye nini kwasababu nimeshachukua admission letter na wanahitaji tulipe asilimia 60 ya ada ambayo ni 1million na laki moja ivi..kiukweli familia yangu haimudi kunilipia hiyo pesa na mwisho wa kufanya usajili ni tarehe 6 oct,nategemea bodi ya mikopo bodi yenyewe wanasema mkopo mpaka wiki ya pili ya mwez oct..nifanyeje wakuu..
Nawasilisha
 
pole sana mkuu but hauko peke yako coz hata mimi na tatizo hilohilo sijui itakuaje....
 
Mleta mada,

Katika vyuo vyetu hapa nchini, kuna baadhi ya vyuo vina mapungufu makubwa sana kwenye suala la usajili, ikiwemo IFM. Binafsi sikusoma pale, ila wadogo zangu waliosoma IFM walipitia hizi changamoto.

Jambo la kufanya kwa sasa ni kuongea na ndugu, jamaa na marafiki wakusaidie hiyo pesa kwa ajili ya usajili, na baada ya huo muda wa bodi kutoa pesa zako utarejesha kwa hao walio kukopesha. Hii ndio option nyepesi ambayo wengi waliitumia enzi hizo.

N.B: Inakupasa ujue bodi itakupa asilimia ngapi, tatizo lisije likawa maradufu. Kama utapewa 80%-100% itakuwa poa.
 
daah ki ukwel ifm kuna ukiritimba mkubwa na wizi mtupu...embu fikiria kuwa student id et buku 20000 whle vyuo vingne n buku 5 had 8..et registration n 50000 while vyuo vngne n buku 10 2...c wizi huu???
 
daah ki ukwel ifm kuna ukiritimba mkubwa na wizi mtupu...embu fikiria kuwa student id et buku 20000 whle vyuo vingne n buku 5 had 8..et registration n 50000 while vyuo vngne n buku 10 2...c wizi huu???

IFM wanatoa ID kila semister ina maana utapewa ID 6 mpaka unamaliza chuo na hiyo ni kwasababu kila semister watu wanapunguzwa ndo maana kila semister ina kitambulisho chake
 

mkuu asente
 
Achana nacho nenda jkt,af posho ya jkt i2nze uje uanzie nayo maisha kwenye hcho kjtaasisi uchwara cha Elimu.. Hv ifm ni chuo au Uchuro? Tafadhari naomba jibu.
 
Achana nacho nenda jkt,af posho ya jkt i2nze uje uanzie nayo maisha kwenye hcho kjtaasisi uchwara cha Elimu.. Hv ifm ni chuo au Uchuro? Tafadhari naomba jibu.

kama ifm sio chuo,ni nini?ili kitu au sehemu iitwe chuo inahitaji nin?tuambie kipi ni chuo na kipi sio chuo we much know................
 
Achana nacho nenda jkt,af posho ya jkt i2nze uje uanzie nayo maisha kwenye hcho kjtaasisi uchwara cha Elimu.. Hv ifm ni chuo au Uchuro? Tafadhari naomba jibu.

kama ifm sio chuo,ni nini?ili kitu au sehemu iitwe chuo inahitaji nin?tuambie kipi ni chuo na kipi sio chuo we much know................
 
kama ifm sio chuo,ni nini?ili kitu au sehemu iitwe chuo inahitaji nin?tuambie kipi ni chuo na kipi sio chuo we much know................

Hahahha sasa ndugu yangu utabishana na watu wa aina hii mpaka.....kimya ni jibu tosha kwa mjinga....by the way mwenyewe nimekwama hapa natakiwa nilipe milioni moja na laki 2 ila mpaka sasa 0-0
 
hahaha kumbe 2po wengi mbrazil..tuandamane...
 
Hahahha sasa ndugu yangu utabishana na watu wa aina hii mpaka.....kimya ni jibu tosha kwa mjinga....by the way mwenyewe nimekwama hapa natakiwa nilipe milioni moja na laki 2 ila mpaka sasa 0-0

we ----- ulikuwa na kelele sana wakati fulani umu jf hadi ukasababisha nikapigwa ban...kumbe lyf gumu tu ujuaji mwingi mngese ww
 
IFM wanatoa ID kila semister ina maana utapewa ID 6 mpaka unamaliza chuo na hiyo ni kwasababu kila semister watu wanapunguzwa ndo maana kila semister ina kitambulisho chake

Wanapunguzwa Kiaje Mkuu..shona Uzi kamili bac.!
 
hakunaga mwisho wa regstrtn...wanawaambia hivo ili mpate presha ya kulipa ada...we ka unasubria mkopo we subr tu kwa aman...&kama unajilipia mwenyewe pia tafuta tu taratibu ila usisubri adi test one zifike...ka wakikuzingua getn kuhusu ID,usijali,pitia geti lile kule carnteen kule hawaulizii ID
 
daah ki ukwel ifm kuna ukiritimba mkubwa na wizi mtupu...embu fikiria kuwa student id et buku 20000 whle vyuo vingne n buku 5 had 8..et registration n 50000 while vyuo vngne n buku 10 2...c wizi huu???

ID zetu ni za ubora na ndo mana ni gharama...ID za 5000 ni sawa tu na za sekondari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…