Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 944
- 1,682
- Thread starter
- #61
Roho ya umauti ishindwe kwa jina la Yesu.Utakufa mida kama hio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho ya umauti ishindwe kwa jina la Yesu.Utakufa mida kama hio
Angel numbers..zina maana yake....googleHabari wadau?
Kwa muda mrefu sana kuna jambo huwa limekuwa likijitokeza mara kwa mara kwangu, kwamba mara nyingi nikiwa naangalia majira kwenye saa ya mkononi au simu nakuta masaa na dakika zinafanana.
Mfano 02:02, 10:10, 20:20, 15:15 N.k, yaani naweza kujiuliza hivi saa hivi saa ngapi saa? Nikangalia saa nakuta 12:12 au 05:05 kutegemea na majira ya muda huo.
Au nasema ngoja nikaangalie mazoezi uwanjani naangalia saa 17:17, 18:18, ngoja niamke nijiandae kwenda ofisini nikicheki saa 06:06.
Naombeni msaada wa ufafanuzi kuangalia saa nakukuta masaa na dakika kufanana ina maana gani kiroho, kiakili, kimaisha?
Ahsante.
HahahahaMkuu andika wosia mapema Huwa watu wengi wanaoanza kuona hivyo wanakufa mapema..
Just kidding 😂😂😂😂
Huu ni uzaifu sasa 😂😂😂Hiyo ipo tu inakua imejengeka hivyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikama vile unakuta mwingine kila siku asubuhi mtu lazima upuu
Asee inaweza kuwa Kuna ukweli, na ina wezekana hapa duniani Kuna vitu vingi sana vinatokea ikiwa na maana zake.Wanaziita angel hours. Eti wanasema ukiona hivyo ujue malaika wako wa ulinzi anakupa uhakika kwamba mko pamoja. And if you look closely, utagundua mambo yako yanakwenda vyema
Amina Mkuu na iwe hivyo inshallaahHizo ni namba za kimalaika, unapewa taarifa kuwa mambo yako yanaenda BAM BAM.
Mimi kuna kipindi nilikuwa naziona hizo namba za kufanana kila siku, nikaanza kuona mambo yangu yananyooka balaa, kila nikigusa imoo, nikigusa imooo....
Usipuuzie, ni ujumbe wa kukuelekeza jambo.
Angelic numbersHabari wadau?
Kwa muda mrefu sana kuna jambo huwa limekuwa likijitokeza mara kwa mara kwangu, kwamba mara nyingi nikiwa naangalia majira kwenye saa ya mkononi au simu nakuta masaa na dakika zinafanana.
Mfano 02:02, 10:10, 20:20, 15:15 N.k, yaani naweza kujiuliza hivi saa hivi saa ngapi saa? Nikangalia saa nakuta 12:12 au 05:05 kutegemea na majira ya muda huo.
Au nasema ngoja nikaangalie mazoezi uwanjani naangalia saa 17:17, 18:18, ngoja niamke nijiandae kwenda ofisini nikicheki saa 06:06.
Naombeni msaada wa ufafanuzi kuangalia saa nakukuta masaa na dakika kufanana ina maana gani kiroho, kiakili, kimaisha?
Ahsante.
Ipo nguvu katika ulimwengu wa kiroho inaitwa universe power masaa na dk kufuatana ni moja ya ishara ambayo ulimwengu unajaribu kuelezea kitu fulani katika maisha yako lakini bado hujui ni wapi pa kuanzia lakini sio shida naweza kukupa muongozo kdg nitafute whatsapp 0686310491Kaka tafuta pesa