Msaada: Inawezekanaje TANESCO kuweka nguzo kwenye eneo la mtu bila mwenye eneo kushirikishwa?

Msaada: Inawezekanaje TANESCO kuweka nguzo kwenye eneo la mtu bila mwenye eneo kushirikishwa?

SAUTI YAKO

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
2,944
Reaction score
2,032
Wakuu kwanza poleni na majukumu,ninaomba kujuzwa kitendo kilichofanywa na tanesco magomeni kama Kiko sahihi au si sahihi.

Kuna mtu walikuwa wakimuunganishia umeme lakini bila kujari au kumshirikisha mwenye eneo kama mahali waliposimika nguzo ni sahihi au laah wao wakachomeka nguzo ambayo imekaa karibu kabisa na nyumba ya mwenye eneo hilo kiasi kwamba hiyo nguzo mbeleni itapokuja kuoza ikatokea kuanguka basi tutarajie madhara kutokea.

Wajuvi wa mambo naomba msaada wenu
 
TANESCO wanakera...

Hata kwa wazee wangu kuna nguzo imepita katikati ya nyumba..

Waya zake zimegusa mti mmoja umekauka...

Mti wingine upo wa kijani na waya zimegusa majani, ndo njia ya watoto wa shule...

Wakipita wanabembea ule mti...

Ukiwaita hawaji...
 
Wakuu kwanza poleni na majukumu,ninaomba kujuzwa kitendo kilichofanywa na tanesco magomeni kama Kiko sahihi au si sahihi.

Kuna mtu walikuwa wakimuunganishia umeme lakini bila kujari au kumshirikisha mwenye eneo kama mahali waliposimika nguzo ni sahihi au laah wao wakachomeka nguzo ambayo imekaa karibu kabisa na nyumba ya mwenye eneo hilo kiasi kwamba hiyo nguzo mbeleni itapokuja kuoza ikatokea kuanguka basi tutarajie madhara kutokea.

Wajuvi wa mambo naomba msaada wenu
Ndugu Kwa kila kiwanja inatakiwa uache mita mbil Kwa pande zotë Kwa shughuli za dharura,uwekaji miondombinu mbalimbali.. other wise wawe wameweka katkt ya kiwanja hpo si SAWA. Kumbuka na wenyewe wana Raman za mipango miji.. kma una hoja unaweza tembelea tawi karibu
 
Ndugu Kwa kila kiwanja inatakiwa uache mita mbil Kwa pande zotë Kwa shughuli za dharura,uwekaji miondombinu mbalimbali.. other wise wawe wameweka katkt ya kiwanja hpo si SAWA. Kumbuka na wenyewe wana Raman za mipango miji.. kma una hoja unaweza tembelea tawi karibu
fafanua... kuna sehemu ume kwama mzee...

inapo achwa barabara ndiyo itapitisha na miundo mbinu mingine kama umeme, maji nk... ukiambiwa upana wa barabara ni 120 kila upade sio kwamba yote ni kwa ajili ya ujenzi wa barabara bali na miundo mbinu mingine...

sasa kama wame pitisha nguzo kwenye eneo lako una takiwa kulipwa kwa nguzo kupita hapo, mimi mzee wake amelipwa kwa nguzo mbili au tatu kupita katika eneo lake...
 
Ndugu Kwa kila kiwanja inatakiwa uache mita mbil Kwa pande zotë Kwa shughuli za dharura,uwekaji miondombinu mbalimbali.. other wise wawe wameweka katkt ya kiwanja hpo si SAWA. Kumbuka na wenyewe wana Raman za mipango miji.. kma una hoja unaweza tembelea tawi karibu
tunapo acha zile mita 1.5 upande wa kulia na kushoto pia 1.5 au 2.0 nyuma na mbele mita 2.5 au 3 kulingana na standards zilizo wekwa na hao unao waita mipango miji ni kwa sababu nyingi kama ulivyo sema moja wapo dhalula... kama moto nk... ila kama ni nguzo au maji kwenda upande wa pili ni hapana lazima kuwe na makubaliano na mwenye eneo...

na ndio maana viwanja havitakiw kuwa na double access labda kwa utaratibu maalum...
 
Suala la kuweka nguzo sidhani kama ni inshu. Ila kama ni eneo hatarishi basi ni issue na cha kufanya ni kutoa taarifa wake kuweka mambo sawa.
 
Wakuu kwanza poleni na majukumu,ninaomba kujuzwa kitendo kilichofanywa na tanesco magomeni kama Kiko sahihi au si sahihi.

Kuna mtu walikuwa wakimuunganishia umeme lakini bila kujari au kumshirikisha mwenye eneo kama mahali waliposimika nguzo ni sahihi au laah wao wakachomeka nguzo ambayo imekaa karibu kabisa na nyumba ya mwenye eneo hilo kiasi kwamba hiyo nguzo mbeleni itapokuja kuoza ikatokea kuanguka basi tutarajie madhara kutokea.

Wajuvi wa mambo naomba msaada wenu
Tafadhali toa taarifa kwenye ofisi za eneo lako kwa hatua zaidi
 
Tafadhali toa taarifa kwenye ofisi za eneo lako kwa hatua zaidi
Haitamsaidia.

Amuachie Mungu Tuu kama Mimi nilivyofanya

Nilienda tanesko nikaambiwa niandike Barua. Nikaandika na kupewa namba. Hapo ni shimo tuu lipo nikaondoka Kwa Muda kurudi Kuna nguzo hakuna waya. Hapo nimeacha Barua ya Tanesco Kwa majirani.

Nikaondoka maana sikai huko. Baada ya Muda nakuta wameunga Umeme na Tanesco wananiambia haiwahusu.

Kiwanja 15x10 kina Barabara unaiacha unakula mita mbili nzima nibakiwe na Nini sasa?
 
Nyie wenyewe mnajenga kiholelaholela,hamfati mipango
Miji
Kama unabisha tuweke picha ya nguzo tuone mtaa ulivyokaa

Ova
 
Wakuu kwanza poleni na majukumu,ninaomba kujuzwa kitendo kilichofanywa na tanesco magomeni kama Kiko sahihi au si sahihi.

Kuna mtu walikuwa wakimuunganishia umeme lakini bila kujari au kumshirikisha mwenye eneo kama mahali waliposimika nguzo ni sahihi au laah wao wakachomeka nguzo ambayo imekaa karibu kabisa na nyumba ya mwenye eneo hilo kiasi kwamba hiyo nguzo mbeleni itapokuja kuoza ikatokea kuanguka basi tutarajie madhara kutokea.

Wajuvi wa mambo naomba msaada wenu
Hicho cha mtoto mkuu kwangu Tandale wamepitisha line ya umeme mkubwa juu ya nyumba yangu bila ridhaa yangu
 
Hicho cha mtoto mkuu kwangu Tandale wamepitisha line ya umeme mkubwa juu ya nyumba yangu bila ridhaa yangu
Sio kweli. Line ya umeme mkubwa haiwez pita chin ya nyumbaa . N haiwezekan..tuma pichaa tuone..ila scenario za nguzo kupita kwenye viwanja vya watu ipo..especially sehem ambako hakuna mchoro wa mipango miji na Kama kiwanja Kiko empy..mm ishawahi nitokea kwenye kiwanja changu na walihamisha nguzo zao.



Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Hicho cha mtoto mkuu kwangu Tandale wamepitisha line ya umeme mkubwa juu ya nyumba yangu bila ridhaa yangu
Hakuna mtu anapitisha line ya umeme mkubwa juu ya nyumba ya mtu. Otherwise uliuziwa kiwanja baada ya umeme kupita na ukajenga chini ya line ya umeme! Tuwe wa kweli na tupende mihundombinu kama tunapenda maendeleo, wewe kama upo barabarani umepata umeme kumbuka Kuna watu wako pembezoni mwa Barabara wanahitaji umeme pia, kwahiyo mnapojenga nyumba zenu kuziba njia zote amtendi aki Wala kutumia ubinadamu Kwa majirani zenu.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Sio kweli. Line ya umeme mkubwa haiwez pita chin ya nyumbaa . N haiwezekan..tuma pichaa tuone..ila scenario za nguzo kupita kwenye viwanja vya watu ipo..especially sehem ambako hakuna mchoro wa mipango miji na Kama kiwanja Kiko empy..mm ishawahi nitokea kwenye kiwanja changu na walihamisha nguzo zao.



Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Mkuu sio umeme mkubwa ni hizi nguzo za majumbani
 
kama wame liweka kinjani kwako bila idhini livunje tuu hilo li nguzo…...
 
fafanua... kuna sehemu ume kwama mzee...

inapo achwa barabara ndiyo itapitisha na miundo mbinu mingine kama umeme, maji nk... ukiambiwa upana wa barabara ni 120 kila upade sio kwamba yote ni kwa ajili ya ujenzi wa barabara bali na miundo mbinu mingine...

sasa kama wame pitisha nguzo kwenye eneo lako una takiwa kulipwa kwa nguzo kupita hapo, mimi mzee wake amelipwa kwa nguzo mbili au tatu kupita katika eneo lake...
Ww huwa wana lipwa na tanesco hiinya Tz, alafu nguzo ikipita ktk eneo la mtu kwanza huwa nichangamoto hata kwa wateja wapya kupewa umeme kutokea ktk iyo nguzo ...

Mm niko na jiran yangu pale uswaili, anadai nguzo iliyo karibu mm kuchukulia umeme imeingia ktk eneo lake na kile kitendo kimepwlekea mm sijapewa umeme mpaka leo tanhia mwaka jana ...na Tanesco hawana hata huo muda wa kuja kusogeza hiyo nguzo ... Ndio maana nikauliza wanalipa Tanesco hii ya Tz au
 
Sio kweli. Line ya umeme mkubwa haiwez pita chin ya nyumbaa . N haiwezekan..tuma pichaa tuone..ila scenario za nguzo kupita kwenye viwanja vya watu ipo..especially sehem ambako hakuna mchoro wa mipango miji na Kama kiwanja Kiko empy..mm ishawahi nitokea kwenye kiwanja changu na walihamisha nguzo zao.



Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Ilichukua muda gani kuhamisha nguzo hizo mkuu ?
 
Back
Top Bottom