forever en ever
Member
- May 16, 2022
- 45
- 32
Jiandae na vipimo kijana hakunaga mambo ya written majeshiniHabari ndugu zangu naomba mnisaidie mwenye uzoefu wa usaili kuhusu Jeshi la magereza kwa sisi Form Four tusiokuwa na fani.
Je, usaili wake upoje? Au maswali yanayoulizwa mara kwa mara ni yapi? (Oral & written)
Vipimo gani bossJiandae na vipimo kijana hakunaga mambo ya written majeshini
Kama kitu hujui kaa kimya tu, usilete masikhara kwenye mambo muhimu hili sio jukwaa la jokes.[/QUOTENa wewe uache ujinga wako. Kwa mwandiko huo wa mchmba wako, tayari amekosa hiyo nafasi.
Kwani wameshaita tayari? Interview mmeambiwa lini?Ndiyoo
Interview ni kesho.Kwani wameshaita tayari? Interview mmeambiwa lini?
Vigezo kama urefu , vyeti vyote tajwa kwenye Tangazo, Kiufupi vigezo vyote walivyohitaji uwe navyo..maswali kma utaulizwa ni kuhusu jeshi la magereza.jua viongozi ata wawili wa juu Kabisa ,dhima ya jeshi la magereza na dira na history ya magerezaUsaili ni kesho jumatatu
We umefanya mkuu ?Kuna mtu kafanya usail wa magereza ngazi ya mkoa
Yaah nilfanya mkuuWe umefanya mkuu ?
Maana kuna mambo muhimu nataka nikuulize
Nakuchek dmYaah nilfanya mkuu
Nakuchek dm
Oyaa kunguruNakuchek dm