Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wiki mbili zijazo ? Huo si utakuwa mwezi wa kumi kabisa mkuuTukae mkao wa kula tetesi ni kwamba(wiki mbili zijazo)mzigo(PDF) itakua on air.
[emoji38]Wiki mbili zijazo ? Huo si utakuwa mwezi wa kumi kabisa mkuu
NdioWiki mbili zijazo ? Huo si utakuwa mwezi wa kumi kabisa mkuu
Tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chini au siyo kiongozi [emoji1][emoji1][emoji38]
Hapa niendelee zangu sasa na mambo mengine nisiwazie .. mwezi wa 10 nitarudi humu kwa lonjaNdio
mlikuwa mnapeana moyo tuu humu ndani baaada ya sensa mambo yatakuwa mazuriHapa niendelee zangu sasa na mambo mengine nisiwazie .. mwezi wa 10 nitarudi humu kwa lonja
[emoji2]
Huu mzigo ni mwez wa 10mlikuwa mnapeana moyo tuu humu ndani baaada ya sensa mambo yatakuwa mazuri
Ndio mzigo ulikuwa utoke baada ya sensa sjui imekuwajemlikuwa mnapeana moyo tuu humu ndani baaada ya sensa mambo yatakuwa mazuri
Lonja nyengine nimeskia hadi tarehe 15 ngoma itakuwa tayariHuu mzigo ni mwez wa 10
Njoo inboxLonja nyengine nimeskia hadi tarehe 15 ngoma itakuwa tayari
Mmh mwezi wa 11 mbali sanakabla ya December itakuwa tayari
Njia ya haja kubwa kama bado Kuna zile nywele au watu washasafisha na mikunyenge!Vipimo gani boss
fanta usahili kwanza mkuu mambo ya vyeo utayajua mbeleWakuu nmeitwa magereza usaili ngazi ya wilaya na niliomba kama form 4 na nina degree, vp kwwnye suala la vyeo uko jeshi la magereza na je kuna usaili mwingine zaidi ya hapa wilayani?