Msaada interview kwa Jeshi la magereza tusiokuwa na fani yoyote

Msaada interview kwa Jeshi la magereza tusiokuwa na fani yoyote

shwar iv ulipigia usaili mkoa gani
Na walichukua watu wa ngapi
Kwenye mkoa hapo ni confidential wanataka 40 Ila idadi sijajua maana wanaeka na akiba

By the way mkeka ndio uhakika unaweza jihesabia umepita mkoani kwenye ka mkeka haupo
 
Kwenye mkoa hapo ni confidential wanataka 40 Ila idadi sijajua maana wanaeka na akiba

By the way mkeka ndio uhakika unaweza jihesabia umepita mkoani kwenye ka mkeka haupo
Aaah nilijua walisema inasemekana ni 45 kila mkoa
Na hata huku walichukua kama 47 iv
 

Join HR TANZANIA TUSHEE AJIRA, ELIMU NA FURSA ZA KAZI, USAILI NK. NA WENGINE
 
Jifunze kuandika hapa sio Facebook. Unapoamua kuandika kwa lugha ya kiswahili basi hakikisha uzi wote umeandika kiswahili, hilo neno interview futa uandike kwa kiswahili.

Unapouliza swali, usiseme sisi inabidi useme mimi maana huu uzi hamjaandika watu zaidi ya mmoja ila umeandika wewe peke ako.

Zingatia alama za mkato, kiulizo na nukta katika uandishi ili usitupe tabu wakati wa kusoma uzi wako.
Umemkaba kooni sababu hana fani ya kufanya na amejishusha au nini mbona ameandika kitu kifupi na kwa uelewa mzuri

Usimnange mtu kiasi hicho sababu amejishusha
 
Back
Top Bottom