Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Vipi boss nipe reportOyaa kunguru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi boss nipe reportOyaa kunguru
shwar iv ulipigia usaili mkoa ganiVipi boss nipe report
Kwenye mkoa hapo ni confidential wanataka 40 Ila idadi sijajua maana wanaeka na akibashwar iv ulipigia usaili mkoa gani
Na walichukua watu wa ngapi
Aaah nilijua walisema inasemekana ni 45 kila mkoaKwenye mkoa hapo ni confidential wanataka 40 Ila idadi sijajua maana wanaeka na akiba
By the way mkeka ndio uhakika unaweza jihesabia umepita mkoani kwenye ka mkeka haupo
Iv uko si walichukua na mujibuAaah nilijua walisema inasemekana ni 45 kila mkoa
Na hata huku walichukua kama 47 iv
Ndio walichukua wengi mnooooIv uko si walichukua na mujibu
Majibu bado tu ya mkeka ?Ndio walichukua wengi mnoooo
Bado bhana japo tempa ziko juu[emoji23][emoji23][emoji23]au ni kwasababu ya hiki kiangaziMajibu bado tu ya mkeka ?
Naam naam [emoji16]Bado bhana japo tempa ziko juu[emoji23][emoji23][emoji23]au ni kwasababu ya hiki kiangazi
Poa poa kiongozNaam naam [emoji16]
We ukijua lonja lini ninong'oneze tu
Umemkaba kooni sababu hana fani ya kufanya na amejishusha au nini mbona ameandika kitu kifupi na kwa uelewa mzuriJifunze kuandika hapa sio Facebook. Unapoamua kuandika kwa lugha ya kiswahili basi hakikisha uzi wote umeandika kiswahili, hilo neno interview futa uandike kwa kiswahili.
Unapouliza swali, usiseme sisi inabidi useme mimi maana huu uzi hamjaandika watu zaidi ya mmoja ila umeandika wewe peke ako.
Zingatia alama za mkato, kiulizo na nukta katika uandishi ili usitupe tabu wakati wa kusoma uzi wako.