Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Ishirini na tano kamili na miezi kadhaa usiwe 26Daaah sawa chifu,
hivi wanavyosema kwa mfano; Mtu mwenye stashahada umri usiwe zaidi ya miaka 25.
Wanamaanisha 24 kushuka chini? au 25 kushuka chini?
]
Kwa JW kujipachika ukiwa mtaani kugumu bro ,labda uwe na mifumo sana aseeOljoro wanaapa tarehe 30
Nadhani baada ya hapo wale wa RTS kozi itafunguliwa tena kwa wale walirudishwa , hivi hizi wa mtaa huwez jipachika maana naambiwa bado wapo uzalendo.
Ila wenye jeshi lao hawakosekani mzee, Jeshi letu ni la baba kanituma mze baba.Kwa JW kujipachika ukiwa mtaani kugumu bro ,labda uwe na mifumo sana asee
[emoji3][emoji3] kikubwa wawe muda wa kusubir ajira tu mzeee hukomkuu haya si majeshi na vitengo tofauti
Halafu naskia msimu wa mashamba huu madogo jkt wakanywe maji mengi [emoji2]
Hapo utatamani umr umeenda kher ungezama kwa six jokeDaaah sawa chifu,
hivi wanavyosema kwa mfano; Mtu mwenye stashahada umri usiwe zaidi ya miaka 25.
Wanamaanisha 24 kushuka chini? au 25 kushuka chini?
]
Daah kwhyo age mchawi hapoHapo utatamani umr umeenda kher ungezama kwa six joke
Yes Kaka age mchawi mzeee Kama huna mbuyuu imekula kwakoDaah kwhyo age mchawi hapo
Tupe Mkekaa kakaaHaya majina yametoka huko kila la kheri vijana
Tupo [emoji2]Kuna aliyebahatik ktk Uzi huu?
Mungu ni mwema chifu, kila la Kheri kaka mkubwaKwanzia mwaka 2021 nahangaika na huu uzi naona washkaji wakisepa tu wakipungua
Hatimaye na mimi naondoka mtaani napungua kwenye huu uzi
Tusikate tamaa wahuni wangu [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
hongera sana afsa na mtuombee pia tuliopo mtaaniKwanzia mwaka 2021 nahangaika na huu uzi naona washkaji wakisepa tu wakipungua
Hatimaye na mimi naondoka mtaani napungua kwenye huu uzi
Tusikate tamaa wahuni wangu [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Amina kakaMungu ni mwema chifu, kila la Kheri kaka mkubwa
Inshaallah mzee wote tutatoboa tuk
hongera sana afsa na mtuombee pia tuliopo mtaani
Hongera sana mkuu tupo pamoja hakuna kukata tamaa mpaka kieleweke.[emoji109]Kwanzia mwaka 2021 nahangaika na huu uzi naona washkaji wakisepa tu wakipungua
Hatimaye na mimi naondoka mtaani napungua kwenye huu uzi
Tusikate tamaa wahuni wangu [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]