Msaada interview za Jeshi la Magereza

Oljoro wanaapa tarehe 30
Nadhani baada ya hapo wale wa RTS kozi itafunguliwa tena kwa wale walirudishwa , hivi hizi wa mtaa huwez jipachika maana naambiwa bado wapo uzalendo.
 
Oljoro wanaapa tarehe 30
Nadhani baada ya hapo wale wa RTS kozi itafunguliwa tena kwa wale walirudishwa , hivi hizi wa mtaa huwez jipachika maana naambiwa bado wapo uzalendo.
Kwa JW kujipachika ukiwa mtaani kugumu bro ,labda uwe na mifumo sana asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…