Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Ndio .mimi nimetokea mtaani
Ila we jamaa ulivyopata kiukweli nimefurahi sana hii id yako naikumbuka mlikuwa mnalalamika wewe yule jamaa aliosomea afya na yule jamaa wa tanga mmekatwa saili mbalimbali mbanga nyingi ila zamu yako ikifika imefika tu umepambana sana

nilikuwa nakusoma huko juu coment za zamani ulivyokuwa ukiaga wenzako leo unaagwa wewe kilaheri huko uendako

Vijana mjifunze kutokata tamaa

Hivi mwenye huu uzi aliouanzisha naye aliondokaga
 
Kwaheri mzee ...[emoji16] enzi zile kuna id tulikuwa tunashinda nazo humu daah wanatuaga roho inauma kichizi wadau wachache tuliobakia id nikiziona nilikuwa napata hope wahun wangu bado nipo nao tutaondoka tu sema nini kaka irudie ile id yako nitapenda na wewe uondoke nayo kwa kishindo [emoji16][emoji123] inshaallah [emoji120]


Polisi na uhamiaji na fire wanakuja najua mwanangu hapo lazima uondoke na mmoja
Afisa kumbe unaenda kiwira
 
Kwaheri mzee ...[emoji16] enzi zile kuna id tulikuwa tunashinda nazo humu daah wanatuaga roho inauma kichizi wadau wachache tuliobakia id nikiziona nilikuwa napata hope wahun wangu bado nipo nao tutaondoka tu sema nini kaka irudie ile id yako nitapenda na wewe uondoke nayo kwa kishindo [emoji16][emoji123] inshaallah [emoji120]


Polisi na uhamiaji na fire wanakuja najua mwanangu hapo lazima uondoke na mmoja
mzabzab mwanawane wenzetu wanalamba mashavu huku.. Sie tuendelee kuna pumbuz tu
 
Asante mkuu .Na wewe utaondoka mkuu yaani lazima tupungue wote inshaallah [emoji120]

Hadi mda huu kila nikijitahidi kulala usingizi hakuna kabisa ..na kesho asubuhi na mapema nasepa Tukuyu mbeya
Karibu kwetu mkuu.....siku ukiiva unatoroka unakuja hapa tukuyu mjini ...nakutafutia pisi hapa...mabonde [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom