Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Polisi, migration na fire wanakujaHIV migration nao wanaweza kutoa?
Ila polisi ndio watawahi mda wowote kwanzia sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi, migration na fire wanakujaHIV migration nao wanaweza kutoa?
Ila we jamaa ulivyopata kiukweli nimefurahi sana hii id yako naikumbuka mlikuwa mnalalamika wewe yule jamaa aliosomea afya na yule jamaa wa tanga mmekatwa saili mbalimbali mbanga nyingi ila zamu yako ikifika imefika tu umepambana sanaNdio .mimi nimetokea mtaani
Afisa kumbe unaenda kiwiraKwaheri mzee ...[emoji16] enzi zile kuna id tulikuwa tunashinda nazo humu daah wanatuaga roho inauma kichizi wadau wachache tuliobakia id nikiziona nilikuwa napata hope wahun wangu bado nipo nao tutaondoka tu sema nini kaka irudie ile id yako nitapenda na wewe uondoke nayo kwa kishindo [emoji16][emoji123] inshaallah [emoji120]
Polisi na uhamiaji na fire wanakuja najua mwanangu hapo lazima uondoke na mmoja
mzabzab mwanawane wenzetu wanalamba mashavu huku.. Sie tuendelee kuna pumbuz tuKwaheri mzee ...[emoji16] enzi zile kuna id tulikuwa tunashinda nazo humu daah wanatuaga roho inauma kichizi wadau wachache tuliobakia id nikiziona nilikuwa napata hope wahun wangu bado nipo nao tutaondoka tu sema nini kaka irudie ile id yako nitapenda na wewe uondoke nayo kwa kishindo [emoji16][emoji123] inshaallah [emoji120]
Polisi na uhamiaji na fire wanakuja najua mwanangu hapo lazima uondoke na mmoja
Karibu kwetu mkuu.....siku ukiiva unatoroka unakuja hapa tukuyu mjini ...nakutafutia pisi hapa...mabonde [emoji23][emoji23]Asante mkuu .Na wewe utaondoka mkuu yaani lazima tupungue wote inshaallah [emoji120]
Hadi mda huu kila nikijitahidi kulala usingizi hakuna kabisa ..na kesho asubuhi na mapema nasepa Tukuyu mbeya
Karibu kwetu mkuu.....siku ukiiva unatoroka unakuja hapa tukuyu mjini ...nakutafutia pisi hapa...mabonde [emoji23][emoji23]
Lini mafunzo yanaanza mwanangu wa B Coy?Kwanzia mwaka 2021 nahangaika na huu uzi naona washkaji wakisepa tu wakipungua
Hatimaye na mimi naondoka mtaani napungua kwenye huu uzi
Tusikate tamaa wahuni wangu [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Tamko gaani watu wanasubria aisee...hv Bado kuna matamko sahv??Kumepoa haswa .watu wanasubiri tamko tu
Tuombe hvyo hvyo tuWazee hatuombi zima moto au vigezo vimekatisha tamaa kama kwangu?
Hapana mzee, hapa nikuomba tuUmemaliza 4m4 miaka iyo
Kwaiyo ni kufosi tu Mazingira uongoHapana mzee, hapa nikuomba tu