BlackHermito
JF-Expert Member
- Oct 15, 2020
- 748
- 1,131
Wewe omba tu kwa vigezo ulivyonavyo hata kama ulimaliza miaka hiyoKwaiyo ni kufosi tu Mazingira uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe omba tu kwa vigezo ulivyonavyo hata kama ulimaliza miaka hiyoKwaiyo ni kufosi tu Mazingira uongo
Kaka upo kimya sana, unakula asali tu [emoji2][emoji2]Saiv tuko kwenye ya medical exam then tuingie oral
Broh umepotea toka uende kozi au hujamaliza koziNilichokiona mimi ni issue ya confidence tuu hasa ORAL ....maana written ni ya kawaida Sana wanatoa maswali kulingana na fani yako
Ila oral mzee ile paneli ya wale jamaa dooh unaweza ukaanguka kama unawoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
YOTE KWA YOTE USAILI WAO NI WA KAWAIDA SANA
Kaka tumebaki sisi [emoji23][emoji23][emoji23]Tupo Live
Safari inshaallah utapata kiongozi bora wote wakose ila sio wewe
Kaka insh allah zamu yetu yawadia sasa ..Tuishi na Mungu tu
Maombi Kwa sanaaaNdugu zangu wa zamani haya sasa Safari je tutatoboa kweli??
Sent from my CPH2325 using JamiiForums mobile app
Hakuna simu kuleWapambanaji mlioenda Kiwira kimya sana.Kweli mafunzo si mchezo.
Sjasikia hiiUHAMIAJI wameachia huko raia 500 wanahitajika
Ni kweliSjasikia hii
Nenda kwenye Pages zaoSjasikia hii
[emoji23][emoji23]Safari inshaallah utapata kiongozi bora wote wakose ila sio wewe
Ume hustle sana
Allahuma amiinSafari inshaallah utapata kiongozi bora wote wakose ila sio wewe
Ume hustle sana