Disichilado
Member
- Oct 20, 2021
- 21
- 8
hebu tuone,lkn kwann waite kwenye usail wakat profesional wanazotaka wanaweza kuselect watu wao? usail wa nn?
Hvi Kuna mwenye fani alieitwa interview me nipo Dodoma sijaitwa
Bahati yakeDuh! Hongera mkuu, magereza mwisho wa kutuma maombi ilikua jana na leo wameshaita watu interview duh!!
Idara ya uhamiaji washatoa kindi la kwanza
Majina ya kwenda kwenye usahili
Mkeka wa uhamiaji tayari hahahahahah na wao walifunga deadline kabla ya magereza AF nmegundua Hawa wanaotuzuga kua wamepigiwa cm wanatuchanganya mbona mkeka unawekwa hadharani tu hakuna Cha simu Wala nini
Wote [emoji867]Mkeka wa uhamiaji tayari hahahahahah na wao walifunga deadline kabla ya magereza AF nmegundua Hawa wanaotuzuga kua wamepigiwa cm wanatuchanganya mbona mkeka unawekwa hadharani tu hakuna Cha simu Wala nini
Hakuna kitu hiyooMkeka ni lazima....sema walioombea mikoani ndio wanaopigiwa simu..
Kama uliombea Makao makuu?Kama umeombea mkoani unaenda ofisi za mkoa unaangalia majina yako maana wamebandika kule orodha ya majina ya waliochaguliwa kwaajili ya usaili...kama ukikosa kuona jina lako ndo hvyo tena
Mkoani unapigiwa simu acha ubishiHakuna kitu hiyoo
Mkoani unapigiwa simu acha ubishi
Ayo majina ya nn kama wamepigiwa simuMkoani unapigiwa simu acha ubishi
Tuwekeeni bc hapaMkeka ni lazima....sema walioombea mikoani ndio wanaopigiwa simu..