Msaada interview za Jeshi la Magereza

hebu tuone,lkn kwann waite kwenye usail wakat profesional wanazotaka wanaweza kuselect watu wao? usail wa nn?

Je mfano watakaoselektiwa wanamatatizo ya kiafya mfano..HIV,hepatitis etc
Ndio maana wanapiga usaili ili kujiridhisha
 
Ila wazee magereza wamechukua mda mrefu kutoa list ya usaili kwa wenye fani [emoji849][emoji849]
 
Mkeka wa uhamiaji tayari hahahahahah na wao walifunga deadline kabla ya magereza AF nmegundua Hawa wanaotuzuga kua wamepigiwa cm wanatuchanganya mbona mkeka unawekwa hadharani tu hakuna Cha simu Wala nini
 
Mkeka wa uhamiaji tayari hahahahahah na wao walifunga deadline kabla ya magereza AF nmegundua Hawa wanaotuzuga kua wamepigiwa cm wanatuchanganya mbona mkeka unawekwa hadharani tu hakuna Cha simu Wala nini

Mkeka ni lazima....sema walioombea mikoani ndio wanaopigiwa simu..
 
Mkeka wa uhamiaji tayari hahahahahah na wao walifunga deadline kabla ya magereza AF nmegundua Hawa wanaotuzuga kua wamepigiwa cm wanatuchanganya mbona mkeka unawekwa hadharani tu hakuna Cha simu Wala nini
Wote [emoji867]
 
Kama umeombea mkoani unaenda ofisi za mkoa unaangalia majina yako maana wamebandika kule orodha ya majina ya waliochaguliwa kwaajili ya usaili...kama ukikosa kuona jina lako ndo hvyo tena
 
Kama umeombea mkoani unaenda ofisi za mkoa unaangalia majina yako maana wamebandika kule orodha ya majina ya waliochaguliwa kwaajili ya usaili...kama ukikosa kuona jina lako ndo hvyo tena
Kama uliombea Makao makuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…