Msaada interview za Jeshi la Magereza

Tupo !! Na tareh 10 Ni kesho kwa wale walotupa lonja

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah Magereza bana sijui shida nini....lakini pengine ile njia yao ya utumwaji maombi kwa email ndio Sababu inayowapa changamoto kuchambua maombi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah Magereza bana sijui shida nini....lakini pengine ile njia yao ya utumwaji maombi kwa email ndio Sababu inayowapa changamoto kuchambua maombi
Huenda wanafany deep selection ili zoezi la usahili liwe rahisi na lisichukue mda mrefu
 
Kabla hio website yao haijawa suspended nilitumaga email nikihoji usaili utafanyika lini Kwa walioomba makao makuu (wenye fani) ni kama week moja imepita nadhani. Sasa leo wamejibu bhn wanasema majina yatatoka yatakapokua tayari... maanake hata majina Bado hayajawa tayari [emoji1787][emoji1787] wazee hapa tunaweza kusubiri sana
 
Huend pia haiwez kuwa rahisi kwa wao kukwambia kuwa siku ya usahili ni lini kwani ni sensitive issue ambayo kiutaratibu wao haiwezi kuwa na mantiki kuiexpose kwa mtu mmoja mmoja na badala yake ni lazima taarifa ziwafikie wote waliotuma maombi na kwa wakati mmoja kwani kumbuka iyo website inaratibiwa makao makuu tofaut na ambavyo ingewez kuwa rahis kwa mikoan ambpo usahili unafanyik kwa nyakat tofauti kulingan na mkoa au huenda pia walikujibu mapema ila feedback zikachelew kukufikia kulingan na sababu za kimtandao....ni wazo tu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah Magereza bana sijui shida nini....lakini pengine ile njia yao ya utumwaji maombi kwa email ndio Sababu inayowapa changamoto kuchambua maombi
Kuna wengine(wenye fani) wametuma maombi Yao kwa posta ...tofauti na email na wao pia itakuwa na changamoto!? Ku compare na email??
 
Wamekula muda ad sio poa
Cha msingi hapa ni kuwapotezea na wao, siku wakiona ni sahihi kutupia sawa na wakiona bado pia Ni sawa wakae tu na limkeka lao. Tushawachoka Sasa uchambuzi gani huo wa kukaa mwezi mzima na usaili ushafanyika ngazi ya wilaya kitambo mno.
 
Cha msingi hapa ni kuwapotezea na wao, siku wakiona ni sahihi kutupia sawa na wakiona bado pia Ni sawa wakae tu na limkeka lao. Tushawachoka Sasa uchambuzi gani huo wa kukaa mwezi mzima na usaili ushafanyika ngazi ya wilaya kitambo mno.
Ishu ni kwamba kiwira kuna kozi ya uongozi kwa sajenti wanamaliza mwezi huu kwaiyo ndomana wanavuta usaili mana bora kuchelewa usaili kuliko majibu ya usaili. Hiyo ndo taarifa wakuu
 
Ishu ni kwamba kiwira kuna kozi ya uongozi kwa sajenti wanamaliza mwezi huu kwaiyo ndomana wanavuta usaili mana bora kuchelewa usaili kuliko majibu ya usaili. Hiyo ndo taarifa wakuu
Oh! Kama hiyo ndo sabababu hapo sawa , Asante mkuu kwa hiyo updated news.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…