Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Hayo majina ndio waliopigiwa simu na kufanya usaili wa kwanza Wengine wameachwa. Hayo majina ni ya usaili wa pili. Na usaili huo utahusu Mambo madogo madogo. Inshort wengi wao wataenda kiwira. Wewe endelea kufura hapo. Ukiambiwa tafuta kitu kingine Cha kufanya huaminii
Nikwambie kwa kifupi labda, sijawahi kupigiwa simu kutoka huko Magereza na jina langu lipo hapo. Tuishie hapo
 
Hayo majina ndio waliopigiwa simu na kufanya usaili wa kwanza Wengine wameachwa. Hayo majina ni ya usaili wa pili. Na usaili huo utahusu Mambo madogo madogo. Inshort wengi wao wataenda kiwira. Wewe endelea kufura hapo. Ukiambiwa tafuta kitu kingine Cha kufanya huaminii

Daaaah wewe jamaa ni muongo balaaaa...... anyway lakini tumekusamehe buree
 
Hongereni wote ambao kwa rehema za mungu majina yetu yameonekana kwenye mkeka wa usaili wa magereza,hii ni hatua kubwa sana[emoji120][emoji120][emoji120]

MUNGU AWE NASI TUFANYE VIZURII KWENYE USAILI
 
Leo mabeo katoa #pressrelease. Nimemsikiliza kwa makin, lakin sijaona mahali alipotaja kuhusu ajira, nilicho msikia, kuwa wanahitaji jeshi dogo linalo cover eneo kubwa.

Pia, amegusia huaba wa bajeti na mambo ya husuyo jeshi, pia amezungumzia maswala ya usalama wa nchi na historia ya jeshi

Kwa kauli yake ya jeshi dogo na technologia, inamaana kuwa hawata ajiri kwa wingi kama lonja za huku zinavyo sema.


Pia amegusia ufinyu wa bajet na mashirika ya jeshi kwa maana hiyo, vijana wa mtaani tujiandae kisikologia kwa idadi ndogo watakayo tangaza.

Licha ya hivyo nimegundua kuwa jeshi linahitaji wataalamu wengi sana, lakin inaonekana msaada kutoka kwa wakubwa unakuwa changamoto kwan baadhi ya kauli zake alikua akitupia lawama kwenye uongozi wa kiraia.

Lakin yote ya yote jeshi linafanya kazi kubwa sana


Huu ndio ukweli, unahitaji, technology kama radar, drone, navy, Ndege, magari na vifaru, ships warships za uhakika, wabobezi wa IT, ingawa bado utahitaji boots on ground.

Jeshi linahitaji Waziri wake awapiganie.
 
Leo mabeo katoa #pressrelease. Nimemsikiliza kwa makin, lakin sijaona mahali alipotaja kuhusu ajira, nilicho msikia, kuwa wanahitaji jeshi dogo linalo cover eneo kubwa.

Pia, amegusia huaba wa bajeti na mambo ya husuyo jeshi, pia amezungumzia maswala ya usalama wa nchi na historia ya jeshi

Kwa kauli yake ya jeshi dogo na technologia, inamaana kuwa hawata ajiri kwa wingi kama lonja za huku zinavyo sema.


Pia amegusia ufinyu wa bajet na mashirika ya jeshi kwa maana hiyo, vijana wa mtaani tujiandae kisikologia kwa idadi ndogo watakayo tangaza.

Licha ya hivyo nimegundua kuwa jeshi linahitaji wataalamu wengi sana, lakin inaonekana msaada kutoka kwa wakubwa unakuwa changamoto kwan baadhi ya kauli zake alikua akitupia lawama kwenye uongozi wa kiraia.

Lakin yote ya yote jeshi linafanya kazi kubwa sana
Mkuu kwa uandishi huu kama ni askari basi ni Wale wasio na chochote begani, yaan private na hutokaa upate cheo. Na kama bado unapambania kupata huwezi kupata maana unaonekana wazi ulikimbia SHULE.
 
Mkuu kwa uandishi huu kama ni askari basi ni Wale wasio na chochote begani, yaan private na hutokaa upate cheo. Na kama bado unapambania kupata huwezi kupata maana unaonekana wazi ulikimbia SHULE.
Kama huelewi ujue mwandishi hajakulenga ww.
 
Mkuu kwa uandishi huu kama ni askari basi ni Wale wasio na chochote begani, yaan private na hutokaa upate cheo. Na kama bado unapambania kupata huwezi kupata maana unaonekana wazi ulikimbia SHULE.
Ndo hasara za kuwa jobless, unastress, unadhan utaelewa, tafta kaz kijana, achana na stress za mitandaoni
 
Leo mabeo katoa #pressrelease. Nimemsikiliza kwa makin, lakin sijaona mahali alipotaja kuhusu ajira, nilicho msikia, kuwa wanahitaji jeshi dogo linalo cover eneo kubwa.

Pia, amegusia huaba wa bajeti na mambo ya husuyo jeshi, pia amezungumzia maswala ya usalama wa nchi na historia ya jeshi

Kwa kauli yake ya jeshi dogo na technologia, inamaana kuwa hawata ajiri kwa wingi kama lonja za huku zinavyo sema.


Pia amegusia ufinyu wa bajet na mashirika ya jeshi kwa maana hiyo, vijana wa mtaani tujiandae kisikologia kwa idadi ndogo watakayo tangaza.

Licha ya hivyo nimegundua kuwa jeshi linahitaji wataalamu wengi sana, lakin inaonekana msaada kutoka kwa wakubwa unakuwa changamoto kwan baadhi ya kauli zake alikua akitupia lawama kwenye uongozi wa kiraia.

Lakin yote ya yote jeshi linafanya kazi kubwa sana
Kuu nikuulize tu swali, saivi vijana si wapo kihangaiko? Kuna nafas gan zitatangazwa tena mkuu?
 
Kama huelewi ujue mwandishi hajakulenga ww.
Sijasema hajaeleweka mzee, ila kwa uandishi ule ni FORM IV aliyefeli. Atafute muda akajiendeleze kidogo ili kuficha aibu kama hizi.
 
Acha makasiriko mjuba kana kwamba unamjua kila mtu humu jf....... BORA UPIGE KIMYA TUU
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ajifunze kuandika vizuri. Yaan maelezo yamejaa unanga tupu. Ukute wakati anaandika alikuwa anavunja matofali akiamini ndio ukamanda. Kwa uandishi ule kama ni askari basi tuna safari ndefu sana ya kiteknolojia.
 
Hongereni wote ambao kwa rehema za mungu majina yetu yameonekana kwenye mkeka wa usaili wa magereza,hii ni hatua kubwa sana[emoji120][emoji120][emoji120]

MUNGU AWE NASI TUFANYE VIZURII KWENYE USAILI
All the best
 
Back
Top Bottom