MrGeneous
JF-Expert Member
- Oct 3, 2020
- 562
- 285
All the best
Shukran mkuu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
All the best
Tafta kaz kijana acha kugombania ukoko na wadogo zako nyumbanSijasema hajaeleweka mzee, ila kwa uandishi ule ni FORM IV aliyefeli. Atafute muda akajiendeleze kidogo ili kuficha aibu kama hizi.
Haya ww unayeandika vizur umefika wap? Uko jobless, acha dharau, dogo hutujui humu ndani wengine tupo huku tunatafta ajira za majeshi kuongeza misha hara hatuna njaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ajifunze kuandika vizuri. Yaan maelezo yamejaa unanga tupu. Ukute wakati anaandika alikuwa anavunja matofali akiamini ndio ukamanda. Kwa uandishi ule kama ni askari basi tuna safari ndefu sana ya kiteknolojia.
Hongera sana Mzee kila Uzi ulikuw active kuanzia PT,UT,ZM sasa umeitwa haya kila la kheriShukran sana kaka....[emoji120][emoji120][emoji120]
Skilizia tuu watatoa mzee,hakuna kukata tamaa mkuu...
SS bro press yake ilikuwa imejikita kwenye kuelekea , kwenye maadhimisho miaka 60 ya uhuru wa Tanzania, basi hayo ya ajira ni yako ,,jw hawazungumzigi sana mambo ya ajira kwenye press,,,tunajivunia jeshi letuLeo mabeo katoa #pressrelease. Nimemsikiliza kwa makin, lakin sijaona mahali alipotaja kuhusu ajira, nilicho msikia, kuwa wanahitaji jeshi dogo linalo cover eneo kubwa.
Pia, amegusia huaba wa bajeti na mambo ya husuyo jeshi, pia amezungumzia maswala ya usalama wa nchi na historia ya jeshi
Kwa kauli yake ya jeshi dogo na technologia, inamaana kuwa hawata ajiri kwa wingi kama lonja za huku zinavyo sema.
Pia amegusia ufinyu wa bajet na mashirika ya jeshi kwa maana hiyo, vijana wa mtaani tujiandae kisikologia kwa idadi ndogo watakayo tangaza.
Licha ya hivyo nimegundua kuwa jeshi linahitaji wataalamu wengi sana, lakin inaonekana msaada kutoka kwa wakubwa unakuwa changamoto kwan baadhi ya kauli zake alikua akitupia lawama kwenye uongozi wa kiraia.
Lakin yote ya yote jeshi linafanya kazi kubwa sana
Hongera sana Mzee kila Uzi ulikuw active kuanzia PT,UT,ZM sasa umeitwa haya kila la kheri
Mbona wengne hawakupigiwa simu Wala kufanya usaili wowote na huu mkeka kwao ndo usahili wa kwanza au unamana gani kusema usahili wa pili???Hayo majina ndio waliopigiwa simu na kufanya usaili wa kwanza Wengine wameachwa. Hayo majina ni ya usaili wa pili. Na usaili huo utahusu Mambo madogo madogo. Inshort wengi wao wataenda kiwira. Wewe endelea kufura hapo. Ukiambiwa tafuta kitu kingine Cha kufanya huaminii
Amen🙏🏾...Mungu atusimamie tu kwakweli na atatushindia kwa Imani sawasawa na mapenzi yake🙏🏾🤲🏾Hongereni wote ambao kwa rehema za mungu majina yetu yameonekana kwenye mkeka wa usaili wa magereza,hii ni hatua kubwa sana[emoji120][emoji120][emoji120]
MUNGU AWE NASI TUFANYE VIZURII KWENYE USAILI
Umeongea vizuri👏🏽Acha makasiriko mjuba kana kwamba unamjua kila mtu humu jf....... BORA UPIGE KIMYA TUU
Mr jinius kila la kheri katika usairi kaka [emoji120][emoji120][emoji120][emoji7]shukran sana mkuu[emoji120][emoji120]
Mr jinius kila la kheri katika usairi kaka [emoji120][emoji120][emoji120][emoji7]
Mkuu fafanua kidogo kwa faida ya wote.Kuna yeyote aliepeleka post zake moja kwa moja Msalato bila kutumia email na kaitwa kwenye usahili ?
Yani kwa taarifa niliyonayo hapa wakuu kama hujaitwa naulikua na vigezo vyote kuna kigezo cha GPA kilihusika pia. waliangalia mpaka GPA yako ya chuo...kila taaluma walikua wanasort by GPA ni hayo tu wadau.Kama taaluma yako walikua wenye GPA kubwa wengi basi GPA ndogo hawakuitwa.
Kuna jamaa yangu ana gpa ndogo sana yan ila kaitwa..Your GPA doesnt matterYani kwa taarifa niliyonayo hapa wakuu kama hujaitwa naulikua na vigezo vyote kuna kigezo cha GPA kilihusika pia. waliangalia mpaka GPA yako ya chuo...kila taaluma walikua wanasort by GPA ni hayo tu wadau.Kama taaluma yako walikua wenye GPA kubwa wengi basi GPA ndogo hawakuitwa.
Kuna jamaa yangu ana gpa ndogo sana yan ila kaitwa..Your GPA doesnt
Atakua ana mbuyu huyoKuna jamaa yangu ana gpa ndogo sana yan ila kaitwa..Your GPA doesnt matter
Hapan kamanda sio kwel nina uhakika wa nikisemachoAtakua ana mbuyu huyo
Na kama ulitumia transcript bila cheti jeYani kwa taarifa niliyonayo hapa wakuu kama hujaitwa naulikua na vigezo vyote kuna kigezo cha GPA kilihusika pia. waliangalia mpaka GPA yako ya chuo...kila taaluma walikua wanasort by GPA ni hayo tu wadau.Kama taaluma yako walikua wenye GPA kubwa wengi basi GPA ndogo hawakuitwa.