Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Sijasema hajaeleweka mzee, ila kwa uandishi ule ni FORM IV aliyefeli. Atafute muda akajiendeleze kidogo ili kuficha aibu kama hizi.
Tafta kaz kijana acha kugombania ukoko na wadogo zako nyumban

Utaosha vyombo mpka lin?

Kahangaike, huandishi mbaya,nakula miatano kwa mwezi kaa hapo ukisema naandika vibaya.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ajifunze kuandika vizuri. Yaan maelezo yamejaa unanga tupu. Ukute wakati anaandika alikuwa anavunja matofali akiamini ndio ukamanda. Kwa uandishi ule kama ni askari basi tuna safari ndefu sana ya kiteknolojia.
Haya ww unayeandika vizur umefika wap? Uko jobless, acha dharau, dogo hutujui humu ndani wengine tupo huku tunatafta ajira za majeshi kuongeza misha hara hatuna njaa


Ww unakula nyumban unalala kwa wazaz ugali wa shkamoo, unamaliza oxygen nyumban, toka nyumban huone ugumu wa maisha.

Sibishani na watu waliosoma chuo cha nyuki mm.
 
Leo mabeo katoa #pressrelease. Nimemsikiliza kwa makin, lakin sijaona mahali alipotaja kuhusu ajira, nilicho msikia, kuwa wanahitaji jeshi dogo linalo cover eneo kubwa.

Pia, amegusia huaba wa bajeti na mambo ya husuyo jeshi, pia amezungumzia maswala ya usalama wa nchi na historia ya jeshi

Kwa kauli yake ya jeshi dogo na technologia, inamaana kuwa hawata ajiri kwa wingi kama lonja za huku zinavyo sema.


Pia amegusia ufinyu wa bajet na mashirika ya jeshi kwa maana hiyo, vijana wa mtaani tujiandae kisikologia kwa idadi ndogo watakayo tangaza.

Licha ya hivyo nimegundua kuwa jeshi linahitaji wataalamu wengi sana, lakin inaonekana msaada kutoka kwa wakubwa unakuwa changamoto kwan baadhi ya kauli zake alikua akitupia lawama kwenye uongozi wa kiraia.

Lakin yote ya yote jeshi linafanya kazi kubwa sana
SS bro press yake ilikuwa imejikita kwenye kuelekea , kwenye maadhimisho miaka 60 ya uhuru wa Tanzania, basi hayo ya ajira ni yako ,,jw hawazungumzigi sana mambo ya ajira kwenye press,,,tunajivunia jeshi letu
 
Hayo majina ndio waliopigiwa simu na kufanya usaili wa kwanza Wengine wameachwa. Hayo majina ni ya usaili wa pili. Na usaili huo utahusu Mambo madogo madogo. Inshort wengi wao wataenda kiwira. Wewe endelea kufura hapo. Ukiambiwa tafuta kitu kingine Cha kufanya huaminii
Mbona wengne hawakupigiwa simu Wala kufanya usaili wowote na huu mkeka kwao ndo usahili wa kwanza au unamana gani kusema usahili wa pili???
 
Hongereni wote ambao kwa rehema za mungu majina yetu yameonekana kwenye mkeka wa usaili wa magereza,hii ni hatua kubwa sana[emoji120][emoji120][emoji120]

MUNGU AWE NASI TUFANYE VIZURII KWENYE USAILI
Amen🙏🏾...Mungu atusimamie tu kwakweli na atatushindia kwa Imani sawasawa na mapenzi yake🙏🏾🤲🏾
 
Wanatuumiza sana hawajui tu kama una vigezo vyote na huitwi inamaanisha nini mbona uzalendo tumeuweka mbele
 
Kuna yeyote aliepeleka post zake moja kwa moja Msalato bila kutumia email na kaitwa kwenye usahili ?
 
Yani kwa taarifa niliyonayo hapa wakuu kama hujaitwa naulikua na vigezo vyote kuna kigezo cha GPA kilihusika pia. waliangalia mpaka GPA yako ya chuo...kila taaluma walikua wanasort by GPA ni hayo tu wadau.Kama taaluma yako walikua wenye GPA kubwa wengi basi GPA ndogo hawakuitwa.
 
Yani kwa taarifa niliyonayo hapa wakuu kama hujaitwa naulikua na vigezo vyote kuna kigezo cha GPA kilihusika pia. waliangalia mpaka GPA yako ya chuo...kila taaluma walikua wanasort by GPA ni hayo tu wadau.Kama taaluma yako walikua wenye GPA kubwa wengi basi GPA ndogo hawakuitwa.

Hahahahaha dah aisee mbona watu mnatoaga data zauongo ivo.....

Ngoja nitoe mfano mimi nilivotuma maombi sijaambatanisha trancript na jina langu nimeliona....

LABDA KAMA CHETI KINAONYESHA GPA SAWA[emoji38][emoji38]
 
Yani kwa taarifa niliyonayo hapa wakuu kama hujaitwa naulikua na vigezo vyote kuna kigezo cha GPA kilihusika pia. waliangalia mpaka GPA yako ya chuo...kila taaluma walikua wanasort by GPA ni hayo tu wadau.Kama taaluma yako walikua wenye GPA kubwa wengi basi GPA ndogo hawakuitwa.
Kuna jamaa yangu ana gpa ndogo sana yan ila kaitwa..Your GPA doesnt matter
 
Yani kwa taarifa niliyonayo hapa wakuu kama hujaitwa naulikua na vigezo vyote kuna kigezo cha GPA kilihusika pia. waliangalia mpaka GPA yako ya chuo...kila taaluma walikua wanasort by GPA ni hayo tu wadau.Kama taaluma yako walikua wenye GPA kubwa wengi basi GPA ndogo hawakuitwa.
Na kama ulitumia transcript bila cheti je
 
Back
Top Bottom