Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Hivi itakuwaje wakatoa nafasi Jwtz na hapohapo magereza wamekuchagua mkuu...unaweza kuacha hiyo nafasi au haiwezekani kuacha kama ulichaguliwa magereza tayar?
Kuna ambao wameshaenda huko geshini waliokuwa vikosini ka mia mbili the rest mpaka January itatoka hyo ya fungulia mbwa
 
MKUU Maswali ya interview mara nyingi ni haya hapa kuna mwamba naona kayaweka hapa
Interview za vyombo vya ulinz hawacimplicate hapo ni vyeti na damu tu
 
Kuna ambao wameshaenda huko geshini waliokuwa vikosini ka mia mbili the rest mpaka January itatoka hyo ya fungulia mbwa
Iyo sahau bora uendelee na mambo mengine tu kk ,,,ukifungwa ukurasa umefungwa ,yaani hapo wanabaki wakuu mbalimbali kugawana nafasi za ndugu zao na watoto wao ,tusio na watu hatuna chetu
 
Mie binafsi kwa mtazamo wangu Naona hakuna jambo ,zaidi kujikita kutoa onyo au vitisho kwa watu wanaotaka kuwasaidia watu kupata nafasi chomboni, au kuepuka matapeli wanaotaka kuwasaidia kupata nafasi chomboni, labda na kuongelea masuala ya usalama, ila kutangaza neema tusahau ... naweza kuwa sahihi au nisiwe sahihi ni mtazamo wangu binafsi
Na hii nilitabiri jana ,aisse mmae tusiio na watu tunashida sana aisee
 
Iyo sahau bora uendelee na mambo mengine tu kk ,,,ukifungwa ukurasa umefungwa ,yaani hapo wanabaki wakuu mbalimbali kugawana nafasi za ndugu zao na watoto wao ,tusio na watu hatuna chetu
Mimi nasemea Kuna ambao wameshaenda tayari huko nyie wengine sunirieni za gombania goal.
N. B Mimi na majeshi mbingu na nchi na mnaotaka msikate tamaa aliwazalo mjinga ndio linalo mtokea
 
Hivi kwenye usahili ni vizuri kama una ndevu Hadi timba limezunguka USO inabidi ukate zote uwe kama mtoto😄🤔...nauliza naombeni nijibiwe kwa yule ambaye anauelewa juu ya hili katika usahili maana vitu vidogo vidogo lakini naamini vinaweza kuwa na effect kubwa au lah..kwahyo ni Bora tushare mawazo kwa pamoja
 
Mimi nasemea Kuna ambao wameshaenda tayari huko nyie wengine sunirieni za gombania goal.
N. B Mimi na majeshi mbingu na nchi na mnaotaka msikate tamaa aliwazalo mjinga ndio linalo mtokea

Mimi nasemea Kuna ambao wameshaenda tayari huko nyie wengine sunirieni za gombania goal.
N. B Mimi na majeshi mbingu na nchi na mnaotaka msikate tamaa aliwazalo mjinga ndio linalo mtokea
Sahiv vikosini vijana wa op makao wanaondoka kama nn kwa msg zinazoingia kutoka makao makuu kuripoti msata ,,watu wanatembea aisee ,,,we jifanye unasubria usahili wa jw utasubiri sana watu wanaondoka sahv vikosini wenye mibuyu yao , wanatembea msata wanabaki ambao hawana watu aisee sio poa
 
Sahiv vikosini vijana wa op makao wanaondoka kama nn kwa msg zinazoingia kutoka makao makuu kuripoti msata ,,watu wanatembea aisee ,,,we jifanye unasubria usahili wa jw utasubiri sana watu wanaondoka sahv vikosini wenye mibuyu yao , wanatembea msata wanabaki ambao hawana watu aisee sio poa
Kwa taarifa walio na mifumo ndo wanaondoka sahv aisee
 
Hivi kwenye usahili ni vizuri kama una ndevu Hadi timba limezunguka USO inabidi ukate zote uwe kama mtoto[emoji1][emoji848]...nauliza naombeni nijibiwe kwa yule ambaye anauelewa juu ya hili katika usahili maana vitu vidogo vidogo lakini naamini vinaweza kuwa na effect kubwa au lah..kwahyo ni Bora tushare mawazo kwa pamoja
Nakazia hili swali
 
Nakazia hili swali
ni vizuri ukanyoa hiyo midevu kwa style ya kawaida tu ya kifaza au ukatoa kabisa.
kuliko kuwapelekea hiyo midevu iliyojaa uso mzima. haita pendeza kimuonekano.

kitu cha kwanza cha kuzingatia ni muonekano wako then mambo mngine.
 
HV PCCB bado na wenyewe hawajatoa PDF yao ya majina ya usahili wao
 
Interview yao no zoezi tu unaweza ukakimbizwa 1.1 km...nilishawahi kuona pale kibaha aisee warembo walitoka barutiiii yaan wigi Lina pepea peeeeeeeeee
Habari za majukumu ndugu zangu,nimeitwa kwenye usahili Jeshi la Magereza, kwa anaejua format ya maswali Yao anisaidie tafadhali
.
 
Back
Top Bottom