chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Vyuma vinaumana huko hatariAny update wadau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyuma vinaumana huko hatariAny update wadau
Kikubwa kuomba munguNilichokiona mimi ni issue ya confidence tuu hasa ORAL ....maana written ni ya kawaida Sana wanatoa maswali kulingana na fani yako
Ila oral mzee ile paneli ya wale jamaa dooh unaweza ukaanguka kama unawoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
YOTE KWA YOTE USAILI WAO NI WA KAWAIDA SANA
Noma sana, Maofisa kama 15 hivi af mabega yamejaaNilichokiona mimi ni issue ya confidence tuu hasa ORAL ....maana written ni ya kawaida Sana wanatoa maswali kulingana na fani yako
Ila oral mzee ile paneli ya wale jamaa dooh unaweza ukaanguka kama unawoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
YOTE KWA YOTE USAILI WAO NI WA KAWAIDA SANA
Noma sana, Maofisa kama 15 hivi af mabega yamejaa
Upo kwenye orodha?Mbona unawasi wasi vip una hofu na afya yako ?Jaman mm nataka nijue kwenye swala la Afya wanaangalia nini haswa
Mkuu vidonda vya tumbo nimo mku kwenye orodhaUpo kwenye orodha?Mbona unawasi wasi vip una hofu na afya yako ?
Hawachek hyo sifa damu tuMkuu vidonda vya tumbo nimo mku kwenye orodha
kwenye damu wanaangalia nini haswa mkuuHawachek hyo sifa damu tu
Hata damu hawapimi, unavua tu shati na Viatu anakuangalia tu basiHawachek hyo sifa damu tu
Utaratibu wa kuingia kwenye writen interview ni mmoja mmoja au mnaingia woote Kwa pamoja ? Na vip kuhusu oral ni hivyo ama ...na interview ya siku mwisho sangapi
Mungu awafanyie wepesi. Hivi safari hii kwenye oral lugha gani ilitumika, Kiswahili au lugha ya malkia?Written mnaingia wote kwenye ukumbi,then kila fani mnakaa kibangala chenu,
Halafu oral mnaingia kulingana na series iliopo kwenye ule mkeka wa majina...
Interview ni siku moja tuu inaisha,kila fani na siku yao..
Lugha ya malkiaMungu awafanyie wepesi. Hivi safari hii kwenye oral lugha gani ilitumika, Kiswahili au lugha ya malkia?
Kuna ambao hawakufika?
Nakubar kakaWritten mnaingia wote kwenye ukumbi,then kila fani mnakaa kibangala chenu,
Halafu oral mnaingia kulingana na series iliopo kwenye ule mkeka wa majina...
Interview ni siku moja tuu inaisha ambapo inategemea na wingi wa watu wa siku hio mfano sisi watu wa mwisho kumaliza walimaliza saa12 hivi jioni ,
Na Ukimaliza oral unasepa tuu.....ko kadiri jina lako lilivo la mwanzoni kwenye mkeka ndivyo utavyowahi kuondoka zako...
Hapo sasa 😂..kama nawaona wanangu wenye miteru sasa ofcoz zilivokua mingi..😂Lugha ya malkia