luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Ah mzee unakuta like demu anakimbia utazani Mesiduuh sio poa aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah mzee unakuta like demu anakimbia utazani Mesiduuh sio poa aisee
Jaman kwa ambao wamekuwa shortlisted kwny masahiliano na magereza km mr. Generous na wengineo Kama title ya uzi husika inavyosomeka tunaomba kufahamishana mambo madogo madogo ya kuzingatia kwa mtu binafsi au mambo ya msingi ambayo ni muhimu kuyafahamu kuhusu magereza Tanzania angalau tupate kufahamishana mambo 2 matatu.
Asante
Naomba kuwasilisha tafadhali..
Orodha iliotoka kwenye tangazo la usaili ndo wanaitumia hiohio wakati wa kuingia Venue kwenye written examMkitoka leo mtuibie lonja me sijaitwa ila nipo dodoma TU Sasa nawaza kwenda so Leo mkitoka mtuambie na mamluki Kama walikuwepo ili tukajarvu bahat
Duuu wameanza na writtenOrodha iliotoka kwenye tangazo la usaili ndo wanaitumia hiohio wakati wa kuingia Venue kwenye written exam
Chuma written, maswali ya taaluma yako. Maswali 10 unachagua 8 unayotaka... Agri. General, horticulture, agronomy na crop production wote mtihani mmoja, makundi mengine pia hvohvoDuuu wameanza na written
Ww uko tarehe ngapChuma written, maswali ya taaluma yako. Maswali 10 unachagua 8 unayotaka... Agri. General, horticulture, agronomy na crop production wote mtihani mmoja, makundi mengine pia hvohvo
Niko hapa saiv naendeleaWw uko tarehe ngap
Poa poaSaiv tuko kwenye ya medical exam then tuingie oral
Nmekuchek pmNiko hapa saiv naendelea
Oral wamebase kwenye nn zaidNiko hapa saiv naendelea
Oral ni bla bla tu hakuna issue, maswali kama Self intro, your strength and weaknessOral wamebase kwenye nn zaid
Kama oral iko hivyo jua hamtapata kituOral ni bla bla tu hakuna issue, maswali kama Self intro, your strength and weakness
Ha ha ha kwa nn kitaruoKama oral iko hivyo jua hamtapata kitu
Sio lazima tupate...Kama oral iko hivyo jua hamtapata kitu
Kama wanataka watu serious, oral inakuwa ngumu kidogoSio lazima tupate...
Btw wenyewe ndo wanajua kwann wamefanya hvo, ko huna Cha kuconclude hapo.