Msaada interview za Jeshi la Magereza

Nikwambie kwa kifupi labda, sijawahi kupigiwa simu kutoka huko Magereza na jina langu lipo hapo. Tuishie hapo
 

Daaaah wewe jamaa ni muongo balaaaa...... anyway lakini tumekusamehe buree
 
Hongereni wote ambao kwa rehema za mungu majina yetu yameonekana kwenye mkeka wa usaili wa magereza,hii ni hatua kubwa sana[emoji120][emoji120][emoji120]

MUNGU AWE NASI TUFANYE VIZURII KWENYE USAILI
 


Huu ndio ukweli, unahitaji, technology kama radar, drone, navy, Ndege, magari na vifaru, ships warships za uhakika, wabobezi wa IT, ingawa bado utahitaji boots on ground.

Jeshi linahitaji Waziri wake awapiganie.
 
Mkuu kwa uandishi huu kama ni askari basi ni Wale wasio na chochote begani, yaan private na hutokaa upate cheo. Na kama bado unapambania kupata huwezi kupata maana unaonekana wazi ulikimbia SHULE.
 
Mkuu kwa uandishi huu kama ni askari basi ni Wale wasio na chochote begani, yaan private na hutokaa upate cheo. Na kama bado unapambania kupata huwezi kupata maana unaonekana wazi ulikimbia SHULE.

Acha makasiriko mjuba kana kwamba unamjua kila mtu humu jf....... BORA UPIGE KIMYA TUU
 
Mkuu kwa uandishi huu kama ni askari basi ni Wale wasio na chochote begani, yaan private na hutokaa upate cheo. Na kama bado unapambania kupata huwezi kupata maana unaonekana wazi ulikimbia SHULE.
Kama huelewi ujue mwandishi hajakulenga ww.
 
Mkuu kwa uandishi huu kama ni askari basi ni Wale wasio na chochote begani, yaan private na hutokaa upate cheo. Na kama bado unapambania kupata huwezi kupata maana unaonekana wazi ulikimbia SHULE.
Ndo hasara za kuwa jobless, unastress, unadhan utaelewa, tafta kaz kijana, achana na stress za mitandaoni
 
Kuu nikuulize tu swali, saivi vijana si wapo kihangaiko? Kuna nafas gan zitatangazwa tena mkuu?
 
Kama huelewi ujue mwandishi hajakulenga ww.
Sijasema hajaeleweka mzee, ila kwa uandishi ule ni FORM IV aliyefeli. Atafute muda akajiendeleze kidogo ili kuficha aibu kama hizi.
 
Acha makasiriko mjuba kana kwamba unamjua kila mtu humu jf....... BORA UPIGE KIMYA TUU
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Ajifunze kuandika vizuri. Yaan maelezo yamejaa unanga tupu. Ukute wakati anaandika alikuwa anavunja matofali akiamini ndio ukamanda. Kwa uandishi ule kama ni askari basi tuna safari ndefu sana ya kiteknolojia.
 
Hongereni wote ambao kwa rehema za mungu majina yetu yameonekana kwenye mkeka wa usaili wa magereza,hii ni hatua kubwa sana[emoji120][emoji120][emoji120]

MUNGU AWE NASI TUFANYE VIZURII KWENYE USAILI
All the best
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…