Msaada interview za Jeshi la Magereza

Mamaeee maji yamezidi unga wahuni wako wanajadili kazi ya Magereza wanasahau huwa wanaiponda oooh kazi gani ya kulinda wafungwa askari mwenyewe anakuwa mfungwa.

Wekeni akiba ya maneno umbwa nyinyi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1][emoji1][emoji1] kama wanavyoiponda kazi ya polisi ila kuna uzi mmoja wa ajira za polisi wamejazana.
 
[emoji1][emoji1][emoji1] kama wanavyoiponda kazi ya polisi ila kuna uzi mmoja wa ajira za polisi wamejazana.

sasa kama watu wana vigezo vyote vyote na ajira hawana wasiache kuomba mkuu..?? Hahahahaha watu tunaenda uelekeo ulipo tuu [emoji16][emoji16]
 
sasa kama watu wana vigezo vyote vyote na ajira hawana wasiache kuomba mkuu..?? Hahahahaha watu tunaenda uelekeo ulipo tuu [emoji16][emoji16]
Ombeni ndugu zangu ila sisi tunachukia mlivyo na mambo ya kinafiki.Mnaziponda hizi kazi ila ajira zikitoka mbiombio kuomba.Kuweni na mambo ya kiume.
 
Division 1 mpka 3 na four ya 26 kama sikosei wamekatwa magereza wilaya Tanga mjini


Haya majeshi hawataki aliyefaulu [emoji1787][emoji1787]



Watu wanne tu ndio wanatakiwa ktk kundi la watu 50 hapo karanga kama watatu wamekuja nao kufanya usaili na hapo hapo wanapewa kazi ya kuwapanga mistari nyie [emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
VIP kwa form six wamechukua?
 

Kwamba karanga wanawapanga mistari halafu na watu bado wamekaza tuu..[emoji23][emoji23][emoji23]miningesepa kwakweli [emoji119][emoji119][emoji119]
 

Walivaa na karanga zao kwa unaaa au sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwamba karanga wanawapanga mistari halafu na watu bado wamekaza tuu..[emoji23][emoji23][emoji23]miningesepa kwakweli [emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji1787][emoji1787]maanake unajua kabisa sina changu lazima hawa wazingatiwe na watu wenyewe wanne wanaitajika karanga wapo 3 hapo anatafutwa mmoja

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji16] swali rahisi tu je kuna form 6 aliefeli form 4?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…