Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Ila wanangu sitaki kuamini kua magereza watu wamepitishwa kihuni huni hakuna hata tarifa [emoji26][emoji26]
 
Wale waliotuma maombi Makao Makuu Msalato Wa fani mbalimbali na shahada washaanza kuitwa kwa usaili ? Au ndo kusubiri PDF ya mkeka wa Majina
 
Back
Top Bottom