Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Yan Hawa jamaaaa inabid watufanyie hima nashangaaa polisi wamechkua watu Zaid ya 1000 aseeeeeeeeee na magereza wajitahd hata wafike 2500+
 
Nadhani wana upload mkeka wa usaili ndio maana wamefunga kwanza website
 
Me Dua zangu nikupata kazi maana njaa itaniua ivi cheo Cha chini kabisa unalipwa shingap pale

Kwani huna fani mkuu...nasikia malipo yote yanafanana hivi vyombo vya wizara ya mambo ya ndani
 
Kwani huna fani mkuu...nasikia malipo yote yanafanana hivi vyombo vya wizara ya mambo ya ndani
Fan ninayo Ila sijamaliza nimebakiza mwaka mmoja kama ntapata nafasi basi ntakuja malizia miakani uko
 
Back
Top Bottom