chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Iko down kwa mudaWakuu Kuna mtu anaiaccess website ya magereza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iko down kwa mudaWakuu Kuna mtu anaiaccess website ya magereza?
Iko down kwa muda
Eeeh mkeka tulambe kichwa BabuNadhani wana upload mkeka wa usaili ndio maana wamefunga kwanza website
Ina muda iko hivyoNadhani wana upload mkeka wa usaili ndio maana wamefunga kwanza website
Me Dua zangu nikupata kazi maana njaa itaniua ivi cheo Cha chini kabisa unalipwa shingap pale
Fan ninayo Ila sijamaliza nimebakiza mwaka mmoja kama ntapata nafasi basi ntakuja malizia miakani ukoKwani huna fani mkuu...nasikia malipo yote yanafanana hivi vyombo vya wizara ya mambo ya ndani
Fan ninayo Ila sijamaliza nimebakiza mwaka mmoja kama ntapata nafasi basi ntakuja malizia miakani uko
Choo cha KulipiaNgoj wajuzi waje kutufahamisha mishahara ipoje Choo Cha Kulipia
Huwa napita kuangalia kama Kuna update yoyoteSEMA tukupe mwongozo dean