Tumepungua tupo wa uhamiaji sahiviNi wazi walioenda Magereza ndio walikuwa active Humu ndani!!!
Sahv kumepoa sana
Na hatuna mambo mengi ..utulivu mwingiTumepungua tupo wa uhamiaji sahivi
Unaelewa maana ya IMEZUILIWA kama uliona sifa kuweka hapa siri za watu sasa subiria wakutafute.View attachment 2082723Usahili wa TpDf umeanza leo aisee vikosini
Kuna mdau katoa lonja sijui tarehe 28 ngoja tuoneMwenye lonja za Uhamiaji kuhusu Usaili wetu ni lini makamanda
Sawa ngoja tuone inakuaje AseeKuna mdau katoa lonja sijui tarehe 28 ngoja tuone
Mwezi na sehemuUhamiaji round ya kwanza walichukua mda gani kutoka siku ya deadline Hadi kutoa pdf ya usahili km mtu anakumbuka vzr asaidie hapa
Anha sawasawa mkuu