Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Cha muhim watu tuzidi kupambana hakuna kukata tamaa...Pesa ndo kiwango Cha heshima utakachopewa na wanadamu hvyo ndo waswahili wanasema kwahiyo tupambane kwa kufanya kazi huku tukisubiri heri kwa Yale matakwa ya kupata kwenda Jeshi lolote Kati ya majeshi yote Tz
 
Uhamiaji
Image_1642309499.jpg
 
Ni wazi walioenda Magereza ndio walikuwa active Humu ndani!!!

Sahv kumepoa sana
 
Uhamiaji round ya kwanza walichukua mda gani kutoka siku ya deadline Hadi kutoa pdf ya usahili km mtu anakumbuka vzr asaidie hapa
 
Majuzi hapo mjini tanga nilikutana na Askari wapya wanachukuliwa na nacharo wanapelekwa boma kichakamiba kozi ya uhamiaji ..I wish next bog nitakuwepo
 
Back
Top Bottom