Cha muhim watu tuzidi kupambana hakuna kukata tamaa...Pesa ndo kiwango Cha heshima utakachopewa na wanadamu hvyo ndo waswahili wanasema kwahiyo tupambane kwa kufanya kazi huku tukisubiri heri kwa Yale matakwa ya kupata kwenda Jeshi lolote Kati ya majeshi yote Tz