ipulunganya
Senior Member
- Apr 18, 2021
- 115
- 119
Ila kumbuka PGO inafundishwa chuoni baada ya kupata nafasi au unafikiri ni somo la mtaani?Utaambiwa usome section 288 ya PGO, ukishindwa kazi huna.
Nyie mnaoenda kuwa mapoliccm jitahidini muijue PGO maana mpaka RPC haijui.
Kazi hajapata unauliza cheo??Kuna demu ana degree ya education physics and chemistry ni Tall hatari na ana cheti cha JKT vip watu kama hawa msoto wao unakuwaje hasa kivyeo
Police tayali nn jaman mnatuchanganya wadau
Nime yaona alafu nasikia magereza ijumaa pamoja na idara ya uhamiaji
Magereza ijumaa na hata interview haijafanyika!!! Dub hii hatari ,[emoji1787][emoji1787]Nime yaona alafu nasikia magereza ijumaa pamoja na idara ya uhamiaji
Watu wanazusha tuuMagereza ijumaa na hata interview haijafanyika!!! Dub hii hatari ,[emoji1787][emoji1787]
Kazi hajapata unauliza cheo??
Mbona interview ya magereza imeshafanyika wiki iliyopita mkuuMagereza ijumaa na hata interview haijafanyika!!! Dub hii hatari ,[emoji1787][emoji1787]
Mbona interview ya magereza imeshafanyika wiki iliyopita mkuu
Interview ya wale waliotuma maombi makao makuu Msalato, wenye fani.. (Degree, Diploma, Certificate) nayo tayari?Mbona interview ya magereza imeshafanyika wiki iliyopita mkuu
Interview ya wale waliotuma maombi makao makuu Msalato, wenye fani.. (Degree, Diploma, Certificate) nayo tayari?
[emoji1666][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Bado bana wasitutishe...
Nadhani itakua bado mkuuInterview ya wale waliotuma maombi makao makuu Msalato, wenye fani.. (Degree, Diploma, Certificate) nayo tayari?
Dah sawa ngoja tusubiri na hukoBado bana wasitutishe...