Msaada interview za Jeshi la Magereza

Utaambiwa usome section 288 ya PGO, ukishindwa kazi huna.

Nyie mnaoenda kuwa mapoliccm jitahidini muijue PGO maana mpaka RPC haijui.
Ila kumbuka PGO inafundishwa chuoni baada ya kupata nafasi au unafikiri ni somo la mtaani?
 
Ila wanangu sitaki kuamini kua magereza watu wamepitishwa kihuni huni hakuna hata tarifa [emoji26][emoji26]
 
Wale waliotuma maombi Makao Makuu Msalato Wa fani mbalimbali na shahada washaanza kuitwa kwa usaili ? Au ndo kusubiri PDF ya mkeka wa Majina
 
Wakubwa uzi tuuchangamshe huu maana ndio unaofuata baada ya polisi kupita
Choo Cha Kulipia ukuje hukuu uchangamshe uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…