Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Daah kuna watu wanachezea bahati hizo nafasi tungezipata sisi walalahoi sidhani kama tungekimbia bora ufie kwenye mafunzo lakini sio urudi huku mtaani
Kaka acha tu inauma sana yaani wanakimbia kunawatu wanahitaji hio nafasi
 
Hili jeramba la mtaani poti unadhan ni la mchezo uzuri wa depo unakula kazi ila unajua ni kwa muda gan baada ya hapo utawalaa
Kabisa kaka ila tuombe Mungu na sisi tutoboe kama wengine tulioanza nao
 
Hili jeramba la mtaani poti unadhan ni la mchezo uzuri wa depo unakula kazi ila unajua ni kwa muda gan baada ya hapo utawalaa
Kitaa pa kisenge sana

Siku hiyo nachomoka kitaa najua ipo siku hata kama sio leo sio mwaka huu nitamchoka tu inshaalah[emoji3] nitajifanyia kasherehe nitajibless kimtindo

walete tu mkeka wengine tunashindwa kulipa kodi miezi 3 tunaogopa unalipa leo kesho majina [emoji1787]wakati tumepanga mkeka ukitoka nauza kila kitu tupate na nauli na pocket money
 
Kabisa kaka ila tuombe Mungu na sisi tutoboe kama wengine tulioanza nao
Tutatoboa tu mimi huwa napata hasira nikisoma nyuzi za watumishi huko wakizungumzia kupanda mshahara mara marupurupu , kufanya kazi wilaya au sehemu yenye fursa nikisoma shuhuda nasema

Ipo siku tu kudadekii hata kama sitajiriwa at least nitaweza kuwa sehemu nzuri
 
Tutafuteni wabanga mazee hayo Mambo bila kushikwa mkono ni bahati nasibu sana
 
Imagine ukiwa baba kantuma usaili wewe ata usipoenda wakuite wasikuite
 
Leta ronja , leta ronja tukale doso na mabio. Nishakunywa maji mengi sana hapa nasubiri kibogi nimwage moto nikapige mazaina zaina ya kutosha.
Na ufupi wangu huu jeshi pekee la kutokea ni JW tu ,tena mungu si athuman nile ukadeti.

Sema wakuu mkiwa mnapata muwe mnatuaga msiwe mnaondoka kama mshale tu kimya kimya.
 
Back
Top Bottom