spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Jeshi halitabirik mkuuSasa mfano ukiingizwa huko wakijua umesoma kozi nyengine kwenye kufanya uhakiki si wanakuchomoa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeshi halitabirik mkuuSasa mfano ukiingizwa huko wakijua umesoma kozi nyengine kwenye kufanya uhakiki si wanakuchomoa ?
Lakini si lina utaratibu mkuuJeshi halitabirik mkuu
Aah mwsho wa siku nao ni watu mkuu it happen wanatakiwa watu 800 mkawa 820 watatolea ripoti kwamba kuna 20 wamezamia tu mtapiga kozi ila mtasumbuliwa kidgoLakini si lina utaratibu mkuu
Kaka acha tu inauma sana yaani wanakimbia kunawatu wanahitaji hio nafasiDaah kuna watu wanachezea bahati hizo nafasi tungezipata sisi walalahoi sidhani kama tungekimbia bora ufie kwenye mafunzo lakini sio urudi huku mtaani
Aaah unafia vitani sioAah mwsho wa siku nao ni watu mkuu it happen wanatakiwa watu 800 mkawa 820 watatolea ripoti kwamba kuna 20 wamezamia tu mtapiga kozi ila mtasumbuliwa kidgo
Hili jeramba la mtaani poti unadhan ni la mchezo uzuri wa depo unakula kazi ila unajua ni kwa muda gan baada ya hapo utawalaaAaah unafia vitani sio
Kabisa kaka ila tuombe Mungu na sisi tutoboe kama wengine tulioanza naoHili jeramba la mtaani poti unadhan ni la mchezo uzuri wa depo unakula kazi ila unajua ni kwa muda gan baada ya hapo utawalaa
Kitaa pa kisenge sanaHili jeramba la mtaani poti unadhan ni la mchezo uzuri wa depo unakula kazi ila unajua ni kwa muda gan baada ya hapo utawalaa
Tutatoboa tu mimi huwa napata hasira nikisoma nyuzi za watumishi huko wakizungumzia kupanda mshahara mara marupurupu , kufanya kazi wilaya au sehemu yenye fursa nikisoma shuhuda nasemaKabisa kaka ila tuombe Mungu na sisi tutoboe kama wengine tulioanza nao
Mkuu bado upo ? nilijua upo depo kitambo sanaHivi bado wanahitaji watu mm nna vigezo vyote mpaka gamba la body ya ma engineer
Mmh hatari basi sio kwamba at least utokee uondoe minong'onoImagine ukiwa baba kantuma usaili wewe ata usipoenda wakuite wasikuite
Sio poaTutafuteni wabanga mazee hayo Mambo bila kushikwa mkono ni bahati nasibu sana
Daaah hii ni changamotoImagine ukiwa baba kantuma usaili wewe ata usipoenda wakuite wasikuite