Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Leta ronja , leta ronja tukale doso na mabio. Nishakunywa maji mengi sana hapa nasubiri kibogi nimwage moto nikapige mazaina zaina ya kutosha.
Na ufupi wangu huu jeshi pekee la kutokea ni JW tu ,tena mungu si athuman nile ukadeti.

Sema wakuu mkiwa mnapata muwe mnatuaga msiwe mnaondoka kama mshale tu kimya kimya.
Naona kijana una Morali ya kutosha
 

Attachments

  • Screenshot_20220622-071520.png
    Screenshot_20220622-071520.png
    145.2 KB · Views: 23
Kutakuwa na kipengele cha wale wenye ujuzi kama wa veta ila sio lazima upitie jakata sa sijui kama ni kweli japo mwaka jana hao watu waliwachukua
Inawezekana nikapata cheti cha veta mana ufundi rangi ni fani yangu ila sijasomea veta
 
Back
Top Bottom