Naona kijana una Morali ya kutoshaLeta ronja , leta ronja tukale doso na mabio. Nishakunywa maji mengi sana hapa nasubiri kibogi nimwage moto nikapige mazaina zaina ya kutosha.
Na ufupi wangu huu jeshi pekee la kutokea ni JW tu ,tena mungu si athuman nile ukadeti.
Sema wakuu mkiwa mnapata muwe mnatuaga msiwe mnaondoka kama mshale tu kimya kimya.
Boss asikuambie mtu, mtaa sio pazuri , nipate hiyo nafasi nikawe mnaa wa hatari huko kwenye kozi. Yaani me nipo tayari hata sasa hivi hapa.Naona kijana una Morali ya kutosha
Haha subiri polisi waje nadhani wale hawaangalii urefu ila jw kuja kitaa ni ngumu aisee labda uwe na mbanga au ujipelekeBoss asikuambie mtu, mtaa sio pazuri , nipate hiyo nafasi nikawe mnaa wa hatari huko kwenye kozi. Yaani me nipo tayari hata sasa hivi hapa.
Una lonja ya PT nn kiongoziHaha subiri polisi waje nadhani wale hawaangalii urefu ila jw kuja kitaa ni ngumu aisee labda uwe na mbanga au ujipeleke
Yeah nimeskia wanakujaUna lonja ya PT nn kiongozi
Hawa walioendaga kozi hawajamaliza tu ? Maana nimeskia wakimaliza ndio wanazimwagaHata mm nilksikia
Mwezi wa nane wapo mwishoni wanamalizaHawa walioendaga kozi hawajamaliza tu ? Maana nimeskia wakimaliza ndio wanazimwaga
Basi magoliMwezi wa nane wapo mwishoni wanamaliza
Polisi nasikia wamepewa kibali cha kuajiri watu 3000.nimesikia leo asubuhi kwenye gazeti la serikaliBasi magoli
Mwezi wa nane wapo mwishoni wanamaliza
Mamaee sio poa ni wengi kisengedaa
Polisi nasikia wamepewa kibali cha kuajiri watu 3000.nimesikia leo asubuhi kwenye gazeti la serikali
Kutakuwa na kipengele cha wale wenye ujuzi kama wa veta ila sio lazima upitie jakata sa sijui kama ni kweli japo mwaka jana hao watu waliwachukuaTaarifa njema asubuhi ya leo
Inawezekana nikapata cheti cha veta mana ufundi rangi ni fani yangu ila sijasomea vetaKutakuwa na kipengele cha wale wenye ujuzi kama wa veta ila sio lazima upitie jakata sa sijui kama ni kweli japo mwaka jana hao watu waliwachukua
connection muhimu.pamoja na kuomba mungu sanaTutafute wabanga mapema wanangu tuondoke kitaa
Unaweza kupataInawezekana nikapata cheti cha veta mana ufundi rangi ni fani yangu ila sijasomea veta
jakata lazima mkuu.nakatika bukutatu najua na nafasi za degree holder lazima ziwepo ngoja tuwasubiri wajeKutakuwa na kipengele cha wale wenye ujuzi kama wa veta ila sio lazima upitie jakata sa sijui kama ni kweli japo mwaka jana hao watu waliwachukua