Sina update mkuuuMkoani waliwaambiaje baada ya usaili ?
Huna update ? Kwani hukufanya usaili mkuu ?Sina update mkuuu
Kesho wanavaa magwandaTayari hiyo View attachment 2290523
Fununu nying jamaa mahali nimemskia anasema wanapiga simu kwa ajili ya kozi mwezi wa nane kiwila PDF hope watashushaKesho wanavaa magwanda
Pfd watashusha mwezi wa 8 au kozi taanza mpka mwezi wa 8 watu wataondoka mapema ?Fununu nying jamaa mahali nimemskia anasema wanapiga simu kwa ajili ya kozi mwezi wa nane kiwila PDF hope watashusha
Nikinukuu maelekezo ya Yule kijana anasema alishia wilayani mkoani hakutoboa ......anadai watapita watapigiwa simu na sio PDFPfd watashusha mwezi wa 8 au kozi taanza mpka mwezi wa 8 watu wataondoka mapema ?
Aha sawaNikinukuu maelekezo ya Yule kijana anasema alishia wilayani mkoani hakutoboa ......anadai watapita watapigiwa simu na sio PDF
Ahaa mlipotoka mliambiwajeAha sawa
Wote tuliofika mikoani mpka leo hatuelewi elewi ngoja tusisikilizie
Tutapigiwa simuAhaa mlipotoka mliambiwaje
hawa naona wameuaTutapigiwa simu
Daah hongera yao aiseehawa naona wameua
So hakuna PDFTutapigiwa simu
Sijajua mkuu .. yaani inshort sielewi kabisaSo hakuna PDF
Makao makuuu ya magereza iko makutopora?? Sio msalato barabara ya Arusha ......wamemaliza juz majina niliona yako PDFKwa uzoefu wangu nilio uwona, majina yakishafika ngazi ya mkoa, wazalendo waliokizi vigezo vyao upigiwa simu kuripoti kwenye vituo husika.
Baada ya kufika kambini kuna mkeka mwengine ambao utatumika kuhakiki walengwa wao waliofika.
Ila lolote linaweza kutoka,ila utaratibu sikuizi wamebadirisa kidogo,maana nilienda kujiandikisha makutupora makao huu ndio utaratibu wanao tumia.
kupunguza matumizi ya simu katika gizaNgoja tusuburi kesho,wazalendo watatupa mrejesho,ila kwa usaili wa special course makao walikua wanapiga simu,na wanaamini simu kushinda pdf walizokua nazo,maana ukitokea mkanganyiko baadhi ya wadau walipigiwa simu ila kwenye mkeka wao majina hayakuepo,walichokifanya ulikua unaonyesha namba iliokupigia,then unaingia kuandikisha.
Tusuburi magereza,tuone watatumia mfumo gani.
Cha muhimu ni kutunza damu na kula karoti kwa wingi maana macho yanawatemaga wazalendo wengi.