Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uzi gani mzee baba
Uzi wa kawaida tu mzee huo hapo juu wakuu walikuwa wakipeana maarifa kidg kwahyo nimekubal Leo watu wamekuwa huru kupeana infouzi gani mzee baba
Duh ngoja tuoneKuna mdau anasema et JW ni tar23 wazee du
Ngoja tuone mkuuKuna mdau anasema et JW ni tar23 wazee du
TupooooMaaafaaandeeeee.....!!!
Tupoooo
EwaaaaaTukae mkao wa kula sasa....[emoji39][emoji39][emoji39]vitu vipo mlangoni
Ewaaaaa
Tangu tukae mkao wa kula mpaka Sasa bado tuTukae mkao wa kula sasa....[emoji39][emoji39][emoji39]vitu vipo mlangoni
Tangu tukae mkao wa kula mpaka Sasa bado tu
Kwa magereza au jwTukae mkao wa kula sasa....[emoji39][emoji39][emoji39]vitu vipo mlangoni
Kwa magereza au jw
Tuvute subira asee maan kwasis tulio nje ya makambi duh..Mungu afanye wepesiJw mzee kidg matumaini yapo mabeyo asema wamekubaliwa ombi lao la kuajir ajira mpya