MrGeneous
JF-Expert Member
- Oct 3, 2020
- 562
- 285
Tuvute subira asee maan kwasis tulio nje ya makambi duh..Mungu afanye wepesi
Daah mzeee ngoja tuone watataja vipaumbele gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuvute subira asee maan kwasis tulio nje ya makambi duh..Mungu afanye wepesi
Jw muda mwingine wajanja sana hawa ,, unaweza subria kutaja vipaumbele ,lkn wap maana ,hawafanyishagi usahili mtaani zaidi ya kuita watu wakafanyie usahili rts ,,yaani hapo ndo tutachoka tulio mtaani ..... Mungu atusaidie maana ambao hatuna watu mmmhDaah mzeee ngoja tuone watataja vipaumbele gani
Jw muda mwingine wajanja sana hawa ,, unaweza subria kutaja vipaumbele ,lkn wap maana ,hawafanyishagi usahili mtaani zaidi ya kuita watu wakafanyie usahili rts ,,yaani hapo ndo tutachoka tulio mtaani ..... Mungu atusaidie maana ambao hatuna watu mmmh
Jw muda mwingine wajanja sana hawa ,, unaweza subria kutaja vipaumbele ,lkn wap maana ,hawafanyishagi usahili mtaani zaidi ya kuita watu wakafanyie usahili rts ,,yaani hapo ndo tutachoka tulio mtaani ..... Mungu atusaidie maana ambao hatuna watu mmmh
Duh hiyo balaa sasaJw muda mwingine wajanja sana hawa ,, unaweza subria kutaja vipaumbele ,lkn wap maana ,hawafanyishagi usahili mtaani zaidi ya kuita watu wakafanyie usahili rts ,,yaani hapo ndo tutachoka tulio mtaani ..... Mungu atusaidie maana ambao hatuna watu mmmh
Swali langu ni kwamba je Mujibu wa sheria wanachukua? Au ndo tupambane na hali zetu.?Usaili mara nyingiii unafanyikia pale kurasini pale
Swali langu ni kwamba je Mujibu wa sheria wanachukua? Au ndo tupambane na hali zetu.?
So kwamba jw wanachukuliaga Kambini tuuu?Hawa jamaa hawatakagi kigezo cha jkt kwanza labda waanze mwaka huu
Na kama wakitaka jkt hata wewe mujibu unahusika
So kwamba jw wanachukuliaga Kambini tuuu?
Asante kwa muongozo mkuuHawa jamaa hawatakagi kigezo cha jkt kwanza labda waanze mwaka huu
Na kama wakitaka jkt hata wewe mujibu unahusika
Hawana hawaKwamba hawa hawanaga mambo ya kutuma maombi.????
Kwa situation ya watu kuwa nyomii kama Mr anavyosema hapa...hili swala wanazingatia vipi ili watu wapungueDuh mzee kama ni hivyo duuuh watu watakua nyomiii sana
Hatujui bro japo nasikiaga wanawapendeleaga wale wa kujitolea eti ,cjui kwann yaani au cjui wanachukua wale fom 6 baada ya depo letu la miez 3 mujibu, mwnye kujua hatufahamisheSwali langu ni kwamba je Mujibu wa sheria wanachukua? Au ndo tupambane na hali zetu.?
Kweli unaweza kuta umepata vyote [emoji3] unaachana tu na magereza unavaa vitengeLakini magereza wakichelewa hivi kuna uzur wake ili Jw nao walete tuombeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli unaweza kuta umepata vyote [emoji3] unaachana tu na magereza unavaa vitenge
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisaNdio uzuri wake huo....lakini wakitoa magereza kabla ya jw duh ukipata bora usepe tuu Magereza maaaana jw hadi mtoto wa wazir anaitaka ko ushindani wake sio kitoto