Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesikia wanajeshi wanatakiwa zaidi ya elfu kumi na mbili ukiachana na wale wajenzi i mean idadi inayohitajika kubwa waliochukuliwa wachache ..ukiwa na mbangawa
Taarifa inaweza kuwa ya uhakika kakaa?Nimesikia wanajeshi wanatakiwa zaidi ya elfu kumi na mbili ukiachana na wale wajenzi i mean idadi inayohitajika kubwa waliochukuliwa wachache ..ukiwa na mbanga wakukushika njia nyeupe
Mbanga tunaemtegemea kwa sasa ni Mungu tu mkulungwa ..Akuna mbanga wakunipiga tough niende kozi huko uhamiaji au TPDF
Ata sijui ni vp hukoSio poa kaka ,ivi wale waliopita awamu ya kwanza washaanza kozi uko au wanatusubiria sisi
Wanakusubiria ww potiiSio poa kaka ,ivi wale waliopita awamu ya kwanza washaanza kozi uko au wanatusubiria sisi
Tupe lonjaWatu tuko ofisini
Aamina sana mkuu .
Kabisa hii nchii yetu sote ..nasisi tule neema ya nchiHaiwezekani kabisa watu wanapokea mishahara kila mwisho wa mwezi sisi wengine ela zetu za manati.
Watuajiri tu kwakweli
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Haiwezekani Ajira ya JWTZ kufikia 12000 na kama hujui ukubwa wa majeshi unakuwa controlled kimataifa sio unaajiri ajiri tu hovyo na kwa namba kubwa kiasi hiko.Sina uhakika hiyo ni kama lonja tu ..tu askari wenzangu