Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Inshaallah kaka kikubwa dua ,na subira
M/Mungu atusaidie tuliobakia humu ndani tutoke kwenda koz na ss
 
Nimesikia wanajeshi wanatakiwa zaidi ya elfu kumi na mbili ukiachana na wale wajenzi i mean idadi inayohitajika kubwa waliochukuliwa wachache ..ukiwa na mbanga wakukushika njia nyeupe
 
Nimesikia wanajeshi wanatakiwa zaidi ya elfu kumi na mbili ukiachana na wale wajenzi i mean idadi inayohitajika kubwa waliochukuliwa wachache ..ukiwa na mbangawa
Nimesikia wanajeshi wanatakiwa zaidi ya elfu kumi na mbili ukiachana na wale wajenzi i mean idadi inayohitajika kubwa waliochukuliwa wachache ..ukiwa na mbanga wakukushika njia nyeupe
Taarifa inaweza kuwa ya uhakika kakaa?
 
Sina uhakika hiyo ni kama lonja tu ..tu askari wenzangu
 
Akuna mbanga wakunipiga tough niende kozi huko uhamiaji au TPDF
 
Kaka kwa fikra Zangu ni kwamba kwa TPDF ukiwa uraiani ni kipengele sana kupata...sema all in all tumuombe Mungu tu ..
 
Sio poa kaka ,ivi wale waliopita awamu ya kwanza washaanza kozi uko au wanatusubiria sisi
 
Sina uhakika hiyo ni kama lonja tu ..tu askari wenzangu
Haiwezekani Ajira ya JWTZ kufikia 12000 na kama hujui ukubwa wa majeshi unakuwa controlled kimataifa sio unaajiri ajiri tu hovyo na kwa namba kubwa kiasi hiko.
 
Back
Top Bottom