Kizazijeuri
Member
- Sep 1, 2021
- 66
- 20
Hii naon Inaenda kwa kupigiwa simu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee hapa tumefanana, yaani huo utiifu nitafanya usipime kabisaYani mimi kwa nlivosota Street nkienda depo ata kicheichei Avue mbele yangu sidindiii yan niharbu kazi nirud tena uraian
Siku nkilipata gape la kwenda depo yoyote huo unaa ntaofanya anaejua ni Mungu
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Vp ndo wote washapgiw cmu kwend kiwira auWanangu hilo ndio gari la mwisho siye tuloachwa tupambaneni huku mitaani mungu ataleta rehma zake
Ko ni kwamba bdo wpo njianJamaa hawajafika hadi sasa, Kuna maafande wako off leo lakini wameshavaa uniform kuwasubiri misukule Ili wawapigishe Introduction to college
Wapo wangapWadau washafika kiwira
Nimeambiwa wapo 120 ..kuna waliokua vikosini na waliofany usaili makaoWapo wangap
Ili litakuwa mtaani au vikosin ?Nackia bado bogi lingine litafata ili kukamilish 700
Naon itakua kotekote tuIli litakuwa mtaani au vikosin ?
Litabeba watu wangapi za chinichini ulizoskiaNaon itakua kotekote tu
Nahis bdo kam 120/130+ ili kukamilish 700Litabeba watu wangapi za chinichini ulizoskia
Wasichukue reserve na vikosinNahis bdo kam 120/130+ ili kukamilish 700
Mtaan ni ngumu na haiwezkn kufanyish usaili mtaan uwe na connection ndo utapatWasichukue reserve na vikosin
Waje mtaani tujaribu bahati ya mwisho sema mda umebaki mchache sana
Alipigiwa na watu wa magereza..na vilevile professional yake Kuna mdada namjua alichaguliwa lakini kumbe hajaenda kuripoti kiwila kwahyo Kati ya nafasi zilizokuwa za hyo professional bht nzuri nilikuwa nawafaham kwahyo akasema yule mdada hajaripoti...baadae akapigiwa reserve huyo rafiki yangu mwingine lakini Kati ya hao wote waliochaguliwa na huyo mdada ambae hajaripoti na hata aliepigiwa simu waliosoma darasa moja kozi moja na mwaka mmoja..na wamepata kazi pamoja japo mmoja aliachwa baadae ikawa heri akapigiwa km reserveAlipigiwa na watu wa magereza au chombo kingine