Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbuyu tena kunanini mbona hatuambizaniTusisahau kunywa maji mengi viongozi , siku njema zaja bila kusahau Mwenyezi na bila kusahau kutafuta mbuyu.
polisi wamepewa kibali tyri sema hatuna hakika kama kweli watakuja karibuni ama agasti.Hata polisi nao waje tu immigration nafasi zao zinakuaga chache mno
Hapa una mbuyu hata Kama hukufanya usaili unaweza. KupitaNadhani usaili wa magereza ni huo huo mmoja kama makao makuu washafanya usaili chakusubiriwa ni mkeka tu au simu ya kureport kiwira
KabisaHapa una mbuyu hata Kama hukufanya usaili unaweza. Kupita
Walimu wanaokula shavu ni mwenye certificate na diploma zaidi bachelor wachache sanaapolisi wamepewa kibali tyri sema hatuna hakika kama kweli watakuja karibuni ama agasti.
Aiseeh kitaa hakusomeki.mfano nimecheki pdf ya walimu na afya sijaona hata mwanangu mmoja
Kazi nyingi siku hizi ni certificate na diploma yani za bachelor ni chache sana yaani kama una mtoto kafaulu form 4 vizuri usimpeleke advance. asome tu diploma huku ukiendelea kumtafutia mtaji .mimi Mungu akinibariki nitafanya hivi sitapeleka mtoto advanceWalimu wanaokula shavu ni mwenye certificate na diploma zaidi bachelor wachache sanaa
Mi nipate angalau sensa tu ata wakinikata kwenye pdf la Kiwira [emoji1787] at least nitakusanya sanya vijisenti vya mtaji huku nikisubiri nijaribu TanpolWanichague tu hao sensa nipate mtaji wangu nifungue hata genge langu tu..mana majeshi ni ukoo hayajawahi muacha mtu salama [emoji2][emoji2]
Sema nao cjui watataka form four tu kama magereza au itakuwajepolisi wamepewa kibali tyri sema hatuna hakika kama kweli watakuja karibuni ama agasti.
Aiseeh kitaa hakusomeki.mfano nimecheki pdf ya walimu na afya sijaona hata mwanangu mmoja
Kikubwa uvumilivu tuSema nao cjui watataka form four tu kama magereza au itakuwaje
naona polisi wnakaribia kuua mafunzoKikubwa uvumilivu tu
yaah.sillo alikuepo jana naona soon watakuja kuchukua watu street tukapige kozi
Yah issue ni mbuyu tu , haya maisha bila kucheza rough hutoboi.yaah.sillo alikuepo jana naona soon watakuja kuchukua watu street tukapige kozi
kikubwa tutafute connection mapema
Sasa kama cheti cha form 4 unacho na jkt unacho shida iko wapi hapo mkuu usiwe na wasiwasiSema nao cjui watataka form four tu kama magereza au itakuwaje
FFU unakatwa bogi mkimaliza
Nzuri hiyo afandeFFU unakatwa bogi mkimaliza
Nafasi ya trafiki unapata tayari ukiwa kazini kama utachaguliwa
Minanzi hiyoo [emoji1787][emoji1787]Wanafunzi 150 wamefukuzwa katika shule ya polisi Siha moshi madai ni utovu wa nidhamu, IGP Sirro amelithibitisha hilo. Wakuu tukipata vibogi tusicheke na nyani ila tucheke na madoso tu, wazazi wanategemea makubwa halafu ukaharibu kazi kisa kicheichei au vileo ambavyo ukivumilia utavikuta tu baada ya kozi. Aah tusiruhusu hili.