Msaada interview za Jeshi la Magereza

Msaada interview za Jeshi la Magereza

Hivi wakuu scale za magereza na JW zipi zamoto zaidi namaanisha yale madoso. Maana nijuavyo mimi scale za jw hazishikiki ingawa kuna watu nimekutana nao wananiambia Askari magereza pia wameiva sana.
Jw ndio wanaongoza wana msoto mkali wao ndio baba lao


Nadhani wanafata magereza nao pia wana mazoezi sana kuliko polisi ambao wao asilimia kubwa ni darasani
 
Nauliza vp watu wameitwa kwenye usaili Dodoma?Kwa wale wenye fani ya trekta?
 
Msoto upo kwa wote [emoji3]
Jana madogo group fulani walikuwa Wana jambishana ronja uchwara tayari watu wamepigiwa simu wanaenda kiwira tareh 3 kimya kimya ikanistua hii ishu na jamaa yuk MG aka niambia hii ishu Hakuna kitu ka Hiko Cha kimya kimya
 
Jana madogo group fulani walikuwa Wana jambishana ronja uchwara tayari watu wamepigiwa simu wanaenda kiwira tareh 3 kimya kimya ikanistua hii ishu na jamaa yuk MG aka niambia hii ishu Hakuna kitu ka Hiko Cha kimya kimya
Ni kweli hakuna kitu kama hicho yaani final say ya Kiwira ni pdf [emoji3]hata kama umevuka mpka mkoani na vipimo umefanya hapo bado upo mguu mmoja nje

Yaani ajira zitoke mtandaoni kila mtu aone na majibu yatoke kimya kimya hamna hio

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama majibu yatakuja mapema hapa lazima tuhesabiwe kwanza ila yakitoka mapema itakuwa vyema zaidi niachane na mkazi wao temporary wa sensa
 
Ni kweli hakuna kitu kama hicho yaani final say ya Kiwira ni pdf [emoji3]hata kama umevuka mpka mkoani na vipimo umefanya hapo bado upo mguu mmoja nje

Yaani ajira zitoke mtandaoni kila mtu aone na majibu yatoke kimya kimya hamna hio

Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama majibu yatakuja mapema hapa lazima tuhesabiwe kwanza ila yakitoka mapema itakuwa vyema zaidi niachane na mkazi wao temporary wa sensa
Hahaha watu wanywe maji mengi tu ......tuvute subira tu
 
Mkeka
JamiiForums-1478941278.jpg
 
Waliopo ccp mpaka mwez wa 9 aisee nimeskia mpaka wahesabiwe ndo watokeee kwa hio wa 9 mwanzo tutakua nao
 
Back
Top Bottom